Phlagiey
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,487
- 1,651
Habari za hapa, natumaini kila mmoja amejaliwa afya njema,
kama ni kinyume na hivyo basi pole na mwombe mungu atakuponya.
Leo kuna jambo limenileta hapa lengo ikiwa ni kutafuta msaada wa mawazo yenu,
basi naomba nielekee moja kwa moja kwenye jambo husika;
Kuna binti nimekuwa nae katika mahusiano kama wapenzi wa muda wa miaka kadhaa mpaka leo,
tukiwa katika masomo ya sekondari kwa wakati huo tukisoma shule moja, alisoma hapo kwa muda badae akawa amehamia shule nyingine (inje ya wilaya) kwendelea na masomo yake.
Kwa kipindi hicho ndio nilikuwa naanza zile harakati za kufukuzia,baada ya kuondoka nilipata wakati mugumu sana,
kwa kuwa tayari alikuwa ameshaanza kuniingia kumtima kama mnavyojua mapenzi ya kisekondari zile pilika pilika za hapa na pale, kila wakati mnatama kuonana.
Badae nilizoea nikajipa moyo ipo siku atakuwa wangu, kweli baada ya kufunga shule (rikizo) akawa amerudi kama kawaida nikaendeleza kale kamchezo, ilifika wakati jibu lake likawa ndio hapo ni baada tayari nikiwa nimesha kula ruti za kutosha kumvizia kwao,na kwa nyakati hizo hatukuwa na uwezo wa kumiliki simu hivyo njia pekee ilikuwa ni kuvizia.
Basi masomo na mapenzi(mlenda na pirau) yakaendelea , ikafika mwaka wa kuhitimu masomo yangu,huku yeye akiwa amebakiza mwaka mmoja kuhitimisha masomo, mwaka ulio fuatia ukawa wa mavuno kwangu baada ya kulima na kupanda kwa miaka minne, kiukweli mavuno katika shamba langu hayakuwa mazuri, nikaamua kuingia mtaani sikutaka kurudi nyuma.
Ukafuatia mwaka wa huyo mpenzi wangu tuliekuwa kukishiriki nae mlenda na pilau, baada ya kuhitimu akawa amechaguliwa tena kwendelea kwa miaka mingine miwili ya kidato cha tano na sita, nyota yake ikaendelea kung'ara haikuishia hapo akachaguliwa tena kujiunga na masoma ya chuo kikuu kozi ya sheria, ikawa bahati kwangu kwa vile chuo kile kilikuwa katika mkoa nilio hamia nikitokea nyumbani kuanza maisha.
Hali ya mahusiano iliendelea kama kawaida japo kuna wakati tulikuwa tunakosana baadae tunarudiana tena huo ndo ukawa mchezo wetu kwa wakati huo akiwa kidato cha tano na sita, alipoanza chuo mahusiano yaka shamili kutokana na ukaribu uliokuwepo hapo u serious ukaanza kuonekana.
Harakati za maisha yangu zika endelea huku na huko nikaamua kujiunga na chuo fulani kupata ujuzi(cheti) ukanisaidia kujiendeleza kimaisha hapa mjini, nikafahamika na watu wengi sana tukokana na kazi yangu, kwa muda wa mwaka mmoja nikawa nimejipanga vya kutosha malengo niliokuwa nimeyapanga kwa wakati ule yakawa yametimia kiasi kikubwa na maisha yanaendelea mpaka leo.
Katika mahusiano yetu kuna mambo mengi tumejipangia likiwemo hili la uchumba mpaka kufikia katika ndoa na ndo mipango yetu kwa kila siku.
Maswali yanayo isumbua akili yangu kila siku ni je kwa utofauti huo kielimu kuna ndoa hapo?
Na je siku ya siku wazazi wake watamkubalia?
Na kama ndoa itafungwa itaheshimika?(kama mnavyo wajua baadhi ya watoto wa kike walio soma)
Yani maswali yako chungu nzima na huwa sipati majibu yake.
Ikumbukwe kwamba;
Yuko mwaka wa nne,
Chuo anachosoma kiko mkoa ninao ishi,
Tunaonana karibu kila weekend,
Tume tokea mkoa mmoja ila makabila tofauti,
Tumetekana kimawazo kutokana na hizo ahadi zetu,
Upande wa pili sijui anachoniwazia kutimiza malengo yetu binadamu hubadilika,
Siku wahi kufanya nae mapenzi mpaka alipo kuwa ameingia chuo.
Tafadhali, ninacho hitaji hapa mimi ni ushauri na kama unaswali unaweza kuuliza, matusi na kejeli naomba vinipite mbali.
Nakama unajijua hauna uweza wa kushauri chochote basi kuwa msomaji tu inatosha.
Natanguliza heshima zangu kwenu wote mtakao changia mawazo yenu hapa.......
kama ni kinyume na hivyo basi pole na mwombe mungu atakuponya.
Leo kuna jambo limenileta hapa lengo ikiwa ni kutafuta msaada wa mawazo yenu,
basi naomba nielekee moja kwa moja kwenye jambo husika;
Kuna binti nimekuwa nae katika mahusiano kama wapenzi wa muda wa miaka kadhaa mpaka leo,
tukiwa katika masomo ya sekondari kwa wakati huo tukisoma shule moja, alisoma hapo kwa muda badae akawa amehamia shule nyingine (inje ya wilaya) kwendelea na masomo yake.
Kwa kipindi hicho ndio nilikuwa naanza zile harakati za kufukuzia,baada ya kuondoka nilipata wakati mugumu sana,
kwa kuwa tayari alikuwa ameshaanza kuniingia kumtima kama mnavyojua mapenzi ya kisekondari zile pilika pilika za hapa na pale, kila wakati mnatama kuonana.
Badae nilizoea nikajipa moyo ipo siku atakuwa wangu, kweli baada ya kufunga shule (rikizo) akawa amerudi kama kawaida nikaendeleza kale kamchezo, ilifika wakati jibu lake likawa ndio hapo ni baada tayari nikiwa nimesha kula ruti za kutosha kumvizia kwao,na kwa nyakati hizo hatukuwa na uwezo wa kumiliki simu hivyo njia pekee ilikuwa ni kuvizia.
Basi masomo na mapenzi(mlenda na pirau) yakaendelea , ikafika mwaka wa kuhitimu masomo yangu,huku yeye akiwa amebakiza mwaka mmoja kuhitimisha masomo, mwaka ulio fuatia ukawa wa mavuno kwangu baada ya kulima na kupanda kwa miaka minne, kiukweli mavuno katika shamba langu hayakuwa mazuri, nikaamua kuingia mtaani sikutaka kurudi nyuma.
Ukafuatia mwaka wa huyo mpenzi wangu tuliekuwa kukishiriki nae mlenda na pilau, baada ya kuhitimu akawa amechaguliwa tena kwendelea kwa miaka mingine miwili ya kidato cha tano na sita, nyota yake ikaendelea kung'ara haikuishia hapo akachaguliwa tena kujiunga na masoma ya chuo kikuu kozi ya sheria, ikawa bahati kwangu kwa vile chuo kile kilikuwa katika mkoa nilio hamia nikitokea nyumbani kuanza maisha.
Hali ya mahusiano iliendelea kama kawaida japo kuna wakati tulikuwa tunakosana baadae tunarudiana tena huo ndo ukawa mchezo wetu kwa wakati huo akiwa kidato cha tano na sita, alipoanza chuo mahusiano yaka shamili kutokana na ukaribu uliokuwepo hapo u serious ukaanza kuonekana.
Harakati za maisha yangu zika endelea huku na huko nikaamua kujiunga na chuo fulani kupata ujuzi(cheti) ukanisaidia kujiendeleza kimaisha hapa mjini, nikafahamika na watu wengi sana tukokana na kazi yangu, kwa muda wa mwaka mmoja nikawa nimejipanga vya kutosha malengo niliokuwa nimeyapanga kwa wakati ule yakawa yametimia kiasi kikubwa na maisha yanaendelea mpaka leo.
Katika mahusiano yetu kuna mambo mengi tumejipangia likiwemo hili la uchumba mpaka kufikia katika ndoa na ndo mipango yetu kwa kila siku.
Maswali yanayo isumbua akili yangu kila siku ni je kwa utofauti huo kielimu kuna ndoa hapo?
Na je siku ya siku wazazi wake watamkubalia?
Na kama ndoa itafungwa itaheshimika?(kama mnavyo wajua baadhi ya watoto wa kike walio soma)
Yani maswali yako chungu nzima na huwa sipati majibu yake.
Ikumbukwe kwamba;
Yuko mwaka wa nne,
Chuo anachosoma kiko mkoa ninao ishi,
Tunaonana karibu kila weekend,
Tume tokea mkoa mmoja ila makabila tofauti,
Tumetekana kimawazo kutokana na hizo ahadi zetu,
Upande wa pili sijui anachoniwazia kutimiza malengo yetu binadamu hubadilika,
Siku wahi kufanya nae mapenzi mpaka alipo kuwa ameingia chuo.
Tafadhali, ninacho hitaji hapa mimi ni ushauri na kama unaswali unaweza kuuliza, matusi na kejeli naomba vinipite mbali.
Nakama unajijua hauna uweza wa kushauri chochote basi kuwa msomaji tu inatosha.
Natanguliza heshima zangu kwenu wote mtakao changia mawazo yenu hapa.......