Kuna ndoa hapa kweli Ke(BACHELOR OF LAWS), Me(certificate)...

Sawa mkuu ila kuna wakati huwa na hisi labda kwa sababu nimemzidi umri na nina uwezo wakushawishi ndo hivyo nimemteka kimawazo hivyo siku akishituka sitakuwa nae tena.

^^
Hapana Mkuu, kuna kitu kinaitwa 'MUUMANO KTK MAPENZI'
Kama miaka yote mmepitia mengi, mmekosana mkasameheana, mkapotezana mkarudiana! Ni dalili kuwa hata ktk ndoa mnaweza kulandana. Jiulize ni wasichana wangapi hauko nao wa umri wako au kwa ushawishi wako ila hauko nao?
Dont judge ahead of time! Mpe nafasi aharibu au ajenge mwenyewe.
^^
 
Barchelor Vs certificates is equal if and only if income from certificate is is greater than from barchelor. Sifa zingine zibakie kuwa constant
 
Wanawake wengi huwadharau waume kama wanawazidi elimu au kipato. Huyu wako anakuzidi elimu, kama ww unamzidi kipato, atatulia. Kama anakuzidi vyote 2 kuna walakini, vinginevyo awe alilelewa na akaleleka. Ni nadra kuwapata wa hivyo leo. Ni mtazamo wangu.


Point iko hapo!

Kama mmeishi maeneo ya karibu jiulize wazazi wake walikuwa wanaishije? Watoto wao wamelelewaje?

U have the decision from that!!!!
 
kama kweli anakupenda kiukweliukweli ndoa inakuhusu.Elimu isiwe kigezo cha ww kumwacha dem wako
 
^^
Hapana Mkuu, kuna kitu kinaitwa 'MUUMANO KTK MAPENZI'
Kama miaka yote mmepitia mengi, mmekosana mkasameheana, mkapotezana mkarudiana! Ni dalili kuwa hata ktk ndoa mnaweza kulandana. Jiulize ni wasichana wangapi hauko nao wa umri wako au kwa ushawishi wako ila hauko nao?
Dont judge ahead of time! Mpe nafasi aharibu au ajenge mwenyewe.
^^

Na vipi kuhusu nafasi ya wazazi katika hili?
Pia zingatia kwamba kwao wote wamesoma ukianzia kaka zake na ye ndo wa mwisho.
Wazazi wake wanampenda sana tena hasa baba yake.
Na pia kawaida ya kabila lao ni watu wa majingambo na kujisikia sana.
 
kama kweli anakupenda kiukweliukweli ndoa inakuhusu.Elimu isiwe kigezo cha ww kumwacha dem wako

nampenda sana lakini nakabiliwa na changamoto nyingi sana ikiwemo kiuchumi za mazingira ya kifamilia binafsi sasa vitimbi nitavirukaje?
 
Na vipi kuhusu nafasi ya wazazi katika hili?
Pia zingatia kwamba kwao wote wamesoma ukianzia kaka zake na ye ndo wa mwisho.
Wazazi wake wanampenda sana tena hasa baba yake.
Na pia kawaida ya kabila lao ni watu wa majingambo na kujisikia sana.

^^
Jifanye we staring wa picha, upambane mpaka mwisho!
Lakini kama hujiamini waachie shamba wengine walime.
^^
 
Mwanamke ni kama CHUPA ya bia wewe.... ukishakunywa chupa unaacha hapo hapo..wacha kulia wewe mtoto wa kiume...
 
Point iko hapo!

Kama mmeishi maeneo ya karibu jiulize wazazi wake walikuwa wanaishije? Watoto wao wamelelewaje?

U have the decision from that!!!!
Hatukuwa tunaishi karibu sana lakini historia ya familia yao ninaifahamu kidogo
Ni mjukuu wa askofu,
Amelelewa katika maisha ya kidini lakini japo hajaishika kivile sana,
Baba yake sio mtu wa dini kivile sanaa japo ni uumini mzuri.
Mama yake ndo kidogo labda kadini kamemwingia na huwa anamsisitiza kusali.
 
^^
Jifanye we staring wa picha, upambane mpaka mwisho!
Lakini kama hujiamini waachie shamba wengine walime.
^^
Dah........!!.. hapo sasa kwenye kuachia shamba ndo mkulima roho inapo niuma.
Nakujifanya staring mwisho wa picha ukaumia inakuwa mbaya zaidi.
 
Barchelor Vs certificates is equal if and only if income from certificate is is greater than from barchelor. Sifa zingine zibakie kuwa constant

hapa sasa ndipo napotakiwa kuvuja jasho zaidi, ili kuipa hadhi certificate yangu.
 
LL.B haitamfanya asiwe mke mwema! Kemea inferiority complex hiyo.

Inawekana lakini mazingira pia humbadili mtu kumbuka baada ya masoma kuna kazi pale na huka kazini pia kuna wasomi wenzake, yani vishawishi ni vingi sana.
 
Back
Top Bottom