Kuna nchi ukimpeleka mtoto kusoma chuo utajuta

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,720
Jamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.

Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.

Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.

Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.

asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.

Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.

Tunajadili na kutoa ushuuda
 
Jamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.

Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.

Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.

Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.

asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.

Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.

Tunajadili na kutoa ushuuda
Bora hata ungeenda huko pengine ungeelimika na kujua kuandika maneno ya kiswahili kwa ufasaha!
 
Mtaani kwangu kuna vijana wawili wamewahi kupitia hilo.

Mmoja alipelekwa malaysia alisoma kama mwaka then chuo akaacha kwenda mpaka akafukuzwa akawa mlevi sanaaa. Wazaz wake walivyogundua wakamrudisha bongo.

Mwengine alipelekwa china nae chuo akumaliza alirudishwa kwa deportation kwa case ya utapeli
 
Nina ndugu yangu alipelekwa na babu yake ili akatulize mawazo baada ya baba yake kufariki. ni mdogo kiasi na aliambiwa asome business management na lengo ni baadae aje ku take over the company baada ya kukaa huko akaja akabadili na course aliyoamua kusoma akaanza kusoma muziki huko Canada siku amerudi nyumbani kawa kituko
 
Nina ndugu yangu alipelekwa na babu yake ili akatulize mawazo baada ya baba yake kufariki
ni mdogo kiasi na lengo ni baadae aje ku take over the company baada ya kukaa huko akaja akabadili na course aliyoamua kusoma akaanza kusoma muziki huko Canada siku amerudi nyumbani kawa kituko
Hata hizi shule hela hapa bongo hazimjengi mtoto vizuri,mpeleke msingi na o level,lakini a level mwache aende ya umma apate kaa sawa
 
Hzo zote Cha mtoto
Aisee usije kosea ukampeleka mtoto Russia
Kuna Dogo tulimpeleka aisee nadhani Alisoma Kama miezi sita baada ya Apo akaacha chuo Dogo Ni pombe mwanzo mwisho.

Anatumiwa hela yeye Ni mtungi tu
Amerudi kadata .
Nadhani pombe ya Putin itakua Ni hatari
Kweli kabisa, yani kuna mama mumewe alisomea Russia...

Msomi mzuri tu ila alikuwa tungi mtu...

Figo zikafeli...akaanza kubadilika rangi mwilini

Tushamfukia...

Mama kabaki mjane...
 
Jamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.

Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.

Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.

Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.

asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.

Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.

Tunajadili na kutoa ushuuda
Hayo ya kubadirika sina uhakika nayo, ukweli ni wengi hupeleka watoto nje kwa kukosa sifa kuingia vyuo hapa nchini. USA pass za o level unaingia varsity, China f6 ukipata dv 4 unaenda unaingia chuo. Subiri wanafunzi watakao rejea toka Ukraine kama wata dahiliwa vyuo vikuu hapa nchini.
 
Jamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.

Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.

Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.

Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.

asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.

Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.

Tunajadili na kutoa ushuuda
Katika nchi zote kuna Vyuo kanyaboya. Mtoto aliyepata Div 4 form four hawezi kupata Chuo kizuri kwa namna yoyote ile.
 
Kweli kabisa, yani kuna mama mumewe alisomea Russia...

Msomi mzuri tu ila alikuwa tungi mtu...

Figo zikafeli...akaanza kubadilika rangi mwilini

Tushamfukia...

Mama kabaki mjane...
Kuna mwalim alinifunfishaga sangu sec mby frm 2 mwanzn
Alisomeaga russia naye alikuwa mtu wa tungi sana,alikuwa anafundisha physics.....kna wakat kma mnara hausomi ....
Alikuwa ananikamata sana na pombe zile power no1 toka Malawi
Kuna siku akanikamata akasema nmpeleke mzaz shule pombe hapo kachkua zote,ikabidi nmpange
Akaniambia hzi nazitoaga wapi nkamwambia boda hko basi akasema niwe namleteaga kimtindo
Kuna siku nkaenda kwake akaniambia alipoenda russia kurudi Ali rudi na friji tu,hahaha

Ova
 
Back
Top Bottom