edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,870
- 9,664
We mtu ni mpuuziAlikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!
Hivi ni kweli watoto wake ni wa kuonewa huruma kiasi cha kupewa tuvyeo kama hivi!?
Kuna tofauti kubwa kati ya kuhubiri maneno ya Mungu na kukamata Dola. Nitajie mtoto mmoja tu wa viongozi waliofuatia baada yake ambaye anaishi kwa kudunduliza kama mimi ambaye sina hata walau binamu tu huko juu! Hakuna
Yule mzee angehubiri neno la Mungu angefaulu kwa kiwango Cha juu sana