Kuna mwenye Video au Audio za hotuba za Sokoine?

Alikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!

Hivi ni kweli watoto wake ni wa kuonewa huruma kiasi cha kupewa tuvyeo kama hivi!?

Kuna tofauti kubwa kati ya kuhubiri maneno ya Mungu na kukamata Dola. Nitajie mtoto mmoja tu wa viongozi waliofuatia baada yake ambaye anaishi kwa kudunduliza kama mimi ambaye sina hata walau binamu tu huko juu! Hakuna

Yule mzee angehubiri neno la Mungu angefaulu kwa kiwango Cha juu sana
We mtu ni mpuuzi
 
Alikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!

Hivi ni kweli watoto wake ni wa kuonewa huruma kiasi cha kupewa tuvyeo kama hivi!?

Kuna tofauti kubwa kati ya kuhubiri maneno ya Mungu na kukamata Dola. Nitajie mtoto mmoja tu wa viongozi waliofuatia baada yake ambaye anaishi kwa kudunduliza kama mimi ambaye sina hata walau binamu tu huko juu! Hakuna

Yule mzee angehubiri neno la Mungu angefaulu kwa kiwango Cha juu sana
Nyerere angeiba,mngekuta kitu?
Madini yote,gesi yote singeisha?
Kuwa na adabu kijana.
Hawa wanaoiba sasa hv,walisomeshwa kwa pesa ya umma aliyokusanya na kusimamia Nyerere.
 
Nyerere angeiba,mngekuta kitu?
Madini yote,gesi yote singeisha?
Kuwa na adabu kijana.
Hawa wanaoiba sasa hv,walisomeshwa kwa pesa ya umma aliyokusanya na kusimamia Nyerere.
Hiyo mijitu ni mijinga sana.. Yani unalalama Nyerere hajaiba.. Hamna rais makini Afrika kama Nyerere mpaka sasa hajatokea mtu aliyeweka uafrika na utaifa mbele kuliko kitu chochote

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
TBC na TFC

Hata hotuba nyingi za Mwl Nyerere zimewekwa Youtube na waandishi wa habari wa nje ya nchi, wakati vyombo vyetu vikiwa vimezifungia nami huwa najiuliza swali kama hilo, kuna haja gani kujaza stores na vitu visivyo wanufaisha watanzania, inasemekana kuna video za Mzee Kawawa pia alipokuwa mwigizaji nazo wamezifungia sijui ni ufinyu wa mawazo au roho mbaya hata haieleweki
Kuna hotuba moja ya nyerere anawasema maaskofu na mashehe niliisikia bado mdogo sana huko TBC kipindi hicho inaitwa RTD, Nimeitafuta sana ila sijaipata bado.

TBC hawafanyi sawa kuzofungia ndani hizo hptuba. Kazi kujisifia tu kuwa wana maktaba kubwa.
 
Kuna hotuba moja ya nyerere anawasema maaskofu na mashehe niliisikia bado mdogo sana huko TBC kipindi hicho inaitwa RTD, Nimeitafuta sana ila sijaipata bado.

TBC hawafanyi sawa kuzofungia ndani hizo hptuba. Kazi kujisifia tu kuwa wana maktaba kubwa.
Wana mentality ya hovyo sana, nimefuatilia Youtube documentaries nyingi kuhusu Mwl Nyerere ni za wazungu na zinavutia sana ila wakwetu hapa bado wamefungia habari makabatini mpaka ziote fungus
 
Alikufa masikini yule mzee na kwa Mungu analo la kujibu. Huwezi kukaa mtop miaka yote ile unaacha familia katika hali ya kushangaza kiasi kile aseee!

Hivi ni kweli watoto wake ni wa kuonewa huruma kiasi cha kupewa tuvyeo kama hivi!?

Kuna tofauti kubwa kati ya kuhubiri maneno ya Mungu na kukamata Dola. Nitajie mtoto mmoja tu wa viongozi waliofuatia baada yake ambaye anaishi kwa kudunduliza kama mimi ambaye sina hata walau binamu tu huko juu! Hakuna

Yule mzee angehubiri neno la Mungu angefaulu kwa kiwango Cha juu sana
Wew jinga kweli mtu mtot wake tu mwenye nameloku Ana jumba maeneo ya nanenane Arusha pale lenye zamani la milioni Mia nne nakumbuka tulienda na broo wangu kumfanyia valuation mwaka 2015 acha kwa upande wa Kaka ake Joseph wa wizarani. Aise wako vzr ile familia acha kbsaa
 
Tanzania's Prime Minister Edward Sokoine opens The 2nd Dar International Trade Fair | July, 1978

 
Habari wakuu.

Nauliza kama kuna mwenye video au audio ya sauti ya Marehemu Sokoine?

Msaada kwa mwenye nazo....
 
Back
Top Bottom