kamanyora
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 209
- 133
Wakuu,naomba kuuliza kama kuna ambaye amewahi kutumia matairi ya goodride anielezee uimara wake,na je kwa masafa marefu kama kwenda musoma inaweza kupiga trip ngapi kwa private car,nilienda kununua matairi aina ya bridgestone nikakutana na haya matairi na nikaona bei yake iko chini ila mimi sijawahi kuyatumia,