Za leo ndugu wapenzi, leo napenda kuwakumbusha kuwa madai ya tume huru ya uchaguzi yalianza toka enzi za Marehemu Rev. Christopher Mtikila lakini tukamuona ni mtu anaye piga kelele za kisiasa.
Leo nimesoma kwenye gazeti Mzee Lowasa na jioni hii Chairman Mbowe wote wanasema bila tume huru ya uchaguzi hakuna jipya. Wito wangu isiwe tukaishia hapo ni wakati sasa wa kuidai hiyo tume huru, lakini tukishaipata tuiangalie muundo wake kwa kuwa isije tokea kama yanayotokea sasa hivi kwa (wabunge na madiwani) kununuliwa. Napenda kuwakilisha.
Leo nimesoma kwenye gazeti Mzee Lowasa na jioni hii Chairman Mbowe wote wanasema bila tume huru ya uchaguzi hakuna jipya. Wito wangu isiwe tukaishia hapo ni wakati sasa wa kuidai hiyo tume huru, lakini tukishaipata tuiangalie muundo wake kwa kuwa isije tokea kama yanayotokea sasa hivi kwa (wabunge na madiwani) kununuliwa. Napenda kuwakilisha.