Kuna mwanamke ananisumbua sana, kila nikimtongoza ananikataa

Kama kweli ni 'smart' kama ulivyoeleza,haiwezi kuwa rahisi kumpata kama ulivyowapata wengine na hasa kama amejua unatumia nguvu kubwa kumshawishi.Hii yaweza kuwa sababu anasita kukukubalia japo anapenda kampani yako na labda anakupenda pia.
 
Natumai wote mko salama.

Ipo hivi mwaka jana nilikutana na mwanamke mmoja hivi nakumbuka ni october 2020, kama kawaida yetu wanaume nikajilipua nikachukua namba za simu kwa nia ya kuchakata papuchi tu.

Ila sasa baada ya kuanzisha mawasiliano na huyo mwanadada nimesahau kabisa lengo langu, nakujikuta napenda tu awe karibu na mimi kila wakati.

She is very smart kwakweli nimejikuta nampenda sana siwezi kumwacha aende na sijamfanya chochote mpaka sasa.

Key point ni kwamba kila nikijaribu kumtongoza anaruka, sasa nikaamua kujikaza niachane nae tu coz naumia, ila nikiacha kuwasiliana nae analalamika mpaka kulia na kuniuliza kama kaniudhi kwa lolote.

Na anapenda sana tuonane mara kwa mara ila ukimtongoza haeleweki anaruka. Wakuu nisaidieni nataka nimsahau kabisa nimpotezee coz nampenda ila simwelewi, wakuu nilikuwaga najishangaa nimekaa na pisi kadhaa ila sijawahi mpenda yeyote kati yao ila huyu ndo basi tena.

Nimeachana na pisi zangu zote kwaajili yake nimepoteza mda mwingi sana nikijua atakaa sawa.

achana naye kuna Moto siku hizi
 
Endea Kumfanya rafiki wa karibu,Mjali kama msichana wako japo bado haijakuwa hivyo,ipo siku ataku propose yeye mwenyewe
 
Screenshot_20210727-141224.jpg
 
Kama kweli ni 'smart' kama ulivyoeleza,haiwezi kuwa rahisi kumpata kama ulivyowapata wengine na hasa kama amejua unatumia nguvu kubwa kumshawishi.Hii yaweza kuwa sababu anasita kukukubalia japo anapenda kampani yako na labda anakupenda pia.
Yani mkuu hataki kabisa nikae mbali nae
 
Endea Kumfanya rafiki wa karibu,Mjali kama msichana wako japo bado haijakuwa hivyo,ipo siku ataku propose yeye mwenyewe
Mkuu mwisho wa siku nisijekuwa napromote product ya mtu mwingine naona bora nimwache tu nijue sina kabisa
 
Natumai wote mko salama.

Ipo hivi mwaka jana nilikutana na mwanamke mmoja hivi nakumbuka ni october 2020, kama kawaida yetu wanaume nikajilipua nikachukua namba za simu kwa nia ya kuchakata papuchi tu.

Ila sasa baada ya kuanzisha mawasiliano na huyo mwanadada nimesahau kabisa lengo langu, nakujikuta napenda tu awe karibu na mimi kila wakati.

She is very smart kwakweli nimejikuta nampenda sana siwezi kumwacha aende na sijamfanya chochote mpaka sasa.

Key point ni kwamba kila nikijaribu kumtongoza anaruka, sasa nikaamua kujikaza niachane nae tu coz naumia, ila nikiacha kuwasiliana nae analalamika mpaka kulia na kuniuliza kama kaniudhi kwa lolote.

Na anapenda sana tuonane mara kwa mara ila ukimtongoza haeleweki anaruka. Wakuu nisaidieni nataka nimsahau kabisa nimpotezee coz nampenda ila simwelewi, wakuu nilikuwaga najishangaa nimekaa na pisi kadhaa ila sijawahi mpenda yeyote kati yao ila huyu ndo basi tena.

Nimeachana na pisi zangu zote kwaajili yake nimepoteza mda mwingi sana nikijua atakaa sawa.

Dont be a Simp, umewekwa kwenye friend zone na mageti yamefungwa no way out husikute kwenye diary na simu yake amekuandika na kukusave BFF.
Ushauri:Muombe mbususu akigoma achana naye haraka sana futa na namba yake.
 
Dont be a Simp, umewekwa kwenye friend zone na mageti yamefungwa no way out husikute kwenye diary na simu yake amekuandika na kukusave BFF.
Ushauri:Muombe mbususu akigoma achana naye haraka sana futa na namba yake.
mkuu nashindwa hata kula nikikumbuka naenda kuachana nae
 
Hadi hapo huyo mwanamke hana shida kabisa, na kishaeleweka ila shida ni weweee tena wewe ni shida sana!!!!
 
Back
Top Bottom