achana naye kuna Moto siku hiziNatumai wote mko salama.
Ipo hivi mwaka jana nilikutana na mwanamke mmoja hivi nakumbuka ni october 2020, kama kawaida yetu wanaume nikajilipua nikachukua namba za simu kwa nia ya kuchakata papuchi tu.
Ila sasa baada ya kuanzisha mawasiliano na huyo mwanadada nimesahau kabisa lengo langu, nakujikuta napenda tu awe karibu na mimi kila wakati.
She is very smart kwakweli nimejikuta nampenda sana siwezi kumwacha aende na sijamfanya chochote mpaka sasa.
Key point ni kwamba kila nikijaribu kumtongoza anaruka, sasa nikaamua kujikaza niachane nae tu coz naumia, ila nikiacha kuwasiliana nae analalamika mpaka kulia na kuniuliza kama kaniudhi kwa lolote.
Na anapenda sana tuonane mara kwa mara ila ukimtongoza haeleweki anaruka. Wakuu nisaidieni nataka nimsahau kabisa nimpotezee coz nampenda ila simwelewi, wakuu nilikuwaga najishangaa nimekaa na pisi kadhaa ila sijawahi mpenda yeyote kati yao ila huyu ndo basi tena.
Nimeachana na pisi zangu zote kwaajili yake nimepoteza mda mwingi sana nikijua atakaa sawa.
hahahha mkuu nowdays nashukuru Mungu i can control myself
hahaha nakutumia mkuuNipe namba zake nimseme. Asikunyanyase huyo
kweli mkuu ila demu akikuelewa hata kama ni bikra hatokaza sanaNa ukiona hataki kukupa papuchi, na pengine anataka mpaka baada ya ndoa, basi ujue ina dosari.
Labda kama ni bikra.
Yani mkuu hataki kabisa nikae mbali naeKama kweli ni 'smart' kama ulivyoeleza,haiwezi kuwa rahisi kumpata kama ulivyowapata wengine na hasa kama amejua unatumia nguvu kubwa kumshawishi.Hii yaweza kuwa sababu anasita kukukubalia japo anapenda kampani yako na labda anakupenda pia.
kabisa mkuuachana naye kuna Moto siku hizi
Mkuu mwisho wa siku nisijekuwa napromote product ya mtu mwingine naona bora nimwache tu nijue sina kabisaEndea Kumfanya rafiki wa karibu,Mjali kama msichana wako japo bado haijakuwa hivyo,ipo siku ataku propose yeye mwenyewe
Dont be a Simp, umewekwa kwenye friend zone na mageti yamefungwa no way out husikute kwenye diary na simu yake amekuandika na kukusave BFF.Natumai wote mko salama.
Ipo hivi mwaka jana nilikutana na mwanamke mmoja hivi nakumbuka ni october 2020, kama kawaida yetu wanaume nikajilipua nikachukua namba za simu kwa nia ya kuchakata papuchi tu.
Ila sasa baada ya kuanzisha mawasiliano na huyo mwanadada nimesahau kabisa lengo langu, nakujikuta napenda tu awe karibu na mimi kila wakati.
She is very smart kwakweli nimejikuta nampenda sana siwezi kumwacha aende na sijamfanya chochote mpaka sasa.
Key point ni kwamba kila nikijaribu kumtongoza anaruka, sasa nikaamua kujikaza niachane nae tu coz naumia, ila nikiacha kuwasiliana nae analalamika mpaka kulia na kuniuliza kama kaniudhi kwa lolote.
Na anapenda sana tuonane mara kwa mara ila ukimtongoza haeleweki anaruka. Wakuu nisaidieni nataka nimsahau kabisa nimpotezee coz nampenda ila simwelewi, wakuu nilikuwaga najishangaa nimekaa na pisi kadhaa ila sijawahi mpenda yeyote kati yao ila huyu ndo basi tena.
Nimeachana na pisi zangu zote kwaajili yake nimepoteza mda mwingi sana nikijua atakaa sawa.
mkuu nashindwa hata kula nikikumbuka naenda kuachana naeDont be a Simp, umewekwa kwenye friend zone na mageti yamefungwa no way out husikute kwenye diary na simu yake amekuandika na kukusave BFF.
Ushauri:Muombe mbususu akigoma achana naye haraka sana futa na namba yake.
hahaha sawa mkuuKwa haraka harakaa naona kichwa chako umekigeuza kuwa mfuniko wa shingo
labda mi mwenyewe nashindwa kuelewa mkuuHadi hapo huyo mwanamke hana shida kabisa, na kishaeleweka ila shida ni weweee tena wewe ni shida sana!!!!
ntajaribu kiongoziMtafute karumanzila(mshana jr)
Kweli umeshindwa kumlegeza miguu???labda mi mwenyewe nashindwa kuelewa mkuu
Hili nalo nenoooAnaogopa kukupa ngoma