Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Huo msemo umefit sana.Tuwe na tahadhari, hii inaweza kuwa ni CALM BEFORE THE STORM.
Everyday is Saturday...............................
Huo msemo umefit sana.Tuwe na tahadhari, hii inaweza kuwa ni CALM BEFORE THE STORM.
Everyday is Saturday...............................
Chato tangu tar 17.3.2021 hatujaona mvua.Kuna mvua Kubwa sana inanyesha hapa usiku huu Nipo ndani lakini nahisi ni ya mawe,
Hata usingizi hauji kutokana na hofu.
Mvua ni kubwa kwa kweli kama itakuwa na madhara kesho tutapata taarifa rasmi.
Ila acha JoBo aondoke tu watu wa Dar mmeshindikana walai,Yaani Kidimbwi palijaa bwanaaa. Aaanh. Mpaka asubuhi bahari shwari. Hat kaupepo hakakuwepo.
Na sasaiv nimetoka kwenye ibada shwari kabisa na dar es salaama yangu. I love you dsm
Stress free zone😄Ila acha JoBo aondoke tu watu wa Dar mmeshindikana walai,
Watu wamefanya bonge la party na wengine kwenda huko huko baharini, eti wanamsubiri JoBo, wavuvi walienda kutega nyavu zao kama kawaida,
Naipenda Tanzania.
Kwa hiyo hauogagi, unywi maji wala kunawa kabla na baada ya kula?Naogopa maji mimi
Hakuna mvua ya mawe wewe unayajua mawe?Kuna mvua Kubwa sana inanyesha hapa usiku huu Nipo ndani lakini nahisi ni ya mawe,
Hata usingizi hauji kutokana na hofu.
Mvua ni kubwa kwa kweli kama itakuwa na madhara kesho tutapata taarifa rasmi.
Sijawasiliana na watu wa huko
Siku hizi technolojia ni kubwa sana,unaangalia tu kwenye simu yako.Mambo ya kuwasiliana na watu wa huko ilikuwa ni technolojia ya kijima!Sijawasiliana na watu wa huko
Mmmh! Hivi si wangenyoosha tu hilo neno kiwe kimbunga cha job?Dar iko cool km sio yenyewe inayotabiriwa kupata Jobo
Ila we jamaaa, mafuriko yapi?huku Dar kuna bonge la mvua mafuriko kila kona jangwani sijui kama kutapitika
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa
Utajuaje niliko huku muda huo ni mchana?
Acha kukariri maisha
Nawe ukaamini? Shauri yakoKwa maelezoyako yakoo ni kwamba upo tz