Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
supu ya konokono ipo safi sana...atakaepata wasaa wa kwenda huko nashauri aonje.
kuona hizi picha peke yake.....zimenipelekea hali yangu kiafya kuwa mbaya sana
Hata mimi konokono nimekula, sikuona cha ajabu. Lakini nilipoambiwa kwamba nimekula konokono siku nzima mate yalijaa mdomoni. Lakini kama wasingenambia basi ingekuwa imetoka maana niliona ni nyama ya kawaida tu.Nimekula wale wadudu wa taa wa kukaanga...crunchy and tasty :]
Nimekula konokono wa kukaanga with garlic sauce ....kinda okay
Duh, ila samaki mbichi mimi alinishinda kabisa. Maana nilikuwa namwangalia live kwamba hajachemshwa wala kufanywa chochote. Ile kuweka mdomoni tu hali ya hewa ya mdomo ikabadilika. Lakini kwa mfano Nyoka akitengenezwa vizuri ana nyama exactly kama ya samaki na ni mtamu sana tu. Au nyama kwa mfano ya kaa (ngadu), nimekuwa nikiwavua na kuwatupa, lakini nilipokuja kuwaonja, nilijutia ule utaratibu wangu wa kuwatupa. Ni watamu sana wale wadudu wakitengenezwa vilivyo. Hakuna kisicholika, sema tu kwetu tuna kila kitu ndo maana tunaona kinyaa.mimi nilikula konokono wa kuchemsha na wadudu wengine kama aina tatu hivi wakiwemo wale waliovimba matumbo mpaka yanakuwa ya rangi ya maziwa, samaki wabichi kabisa waliotolewa kwenye friji, nyama mbichi kabisa ya punda!
kwa kweli nilijiuliza kama wengine wanakula na hawadhuriki iweje mie nidhurike? na pia ukiangalia wanatayarisha katika mazingira safi sana
Curry ya Mende!!!
Mkuu tafadhali sana hakuna mtu anakula mende ebu rekebisha kidogo hapo juu
Hapo juu wamesema giant waterbug na sio cockroach (hawa wadudu ni wachafu na wanabeba magonjwa mengi sana)kwani ana ubaya gani?...kama nge amewezekana.....itakuwa mende......
Hiyo sio ajabu,pemba tunakula sana kenge,wanaongeza maisha na nguvu za kijinsiaJamaa wana uchu sana. Fujo zote hizi kutaka kula kila kitu.Huko kwao baada mtu kumkimbia nyoka,nyoka ndio anamkimbia mtu.
<br />Hiyo sio ajabu,pemba tunakula sana kenge,wanaongeza maisha na nguvu za kijinsia
Hao Wanyama pori wangelikuwa Bara la Asia basi ninavyofikiri mimi wangelikwisha mara moja kusengelikuwa tena na mnyama anayeitwa Simba, Tembo,Swala,kifaru,Pundamilia,nyati,Chita,Chui,Paa kongoni na wanyama wengine wengi tu ingelikuwa kama hadithi tu za akina abunuwasi.........
Hiyo sio ajabu,pemba tunakula sana kenge,wanaongeza maisha na nguvu za kijinsia
..Pole babie...!!kuona hizi picha peke yake.....zimenipelekea hali yangu kiafya kuwa mbaya sana