Kuna mtu yoyote aliye wahi kula vyakula vya kichina? Hebu angalia picha hapo chini

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,319
33,125
Vyakula vya kichinana Kithailand

1828_p71022.jpg

Chura



1828_p71023.jpg

Panzi




1828_p71028.jpg

Curry ya Mende!!!

1828_p71021.jpg

Mchwa waliyo kaushwa (Sungusungu)!!!


1828_p71027.jpg

Inge waliyo kangwa (Roasted)!!!


1828_p71026.jpg

Aina saba za wadudu waliyo kangwa!!!


1828_p71020.jpg

Achali ya mayai ya sungusungu!! !!



1828_p71029.jpg

Nyama ya nyoka!!!



1828_p71024.jpg

Steak ya nyoka


1828_p71025.jpg

Mjusi mix na mboga!!



1828_p71030.jpg


Huko Ma isia hakutupwi kitu kila kitu ni chakula hata nyama ya mbwa paka ni chakula duhuuuu.....
 
Duuuhh!! Sijawahi kabisa, lakini nadhani kilichosababisha ni njaa kutokana na population yao kuwa kubwa mno. Kwa mawazo yangu siwezi kula kabisa, chura? Mjusi? Nyoka? Hapana sili.
 
<p style="text-align: center;"><font size="3"><b>Vyakula vya kichinana Kithailand </b></font><br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71022.jpg" border="0" alt="" /><br />
<font size="3"><b>Chura</b></font><br />
<br />
<br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71023.jpg" border="0" alt="" /><br />
<b><font size="3">Panzi</font></b><br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71028.jpg" border="0" alt="" /><br />
<font size="3"><b>Curry ya</b></font> <font size="3"><b>Mende!!!</b></font><br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71021.jpg" border="0" alt="" /><br />
<b><font size="3">Mchwa waliyo kaushwa (Sungusungu)!!!</font></b><br />
<br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71027.jpg" border="0" alt="" /><br />
<b>Inge waliyo kangwa (Roasted)!!!</b><br />
<br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71026.jpg" border="0" alt="" /><br />
<b><font size="3">Aina saba za wadudu waliyo kangwa!!!</font></b><br />
<br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71020.jpg" border="0" alt="" /><br />
<b><font size="3">Achali ya mayai ya sungusungu!! !!</font></b><br />
<br />
<br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71029.jpg" border="0" alt="" /><br />
<b><font size="3">Nyama ya nyoka!!!</font></b><br />
<br />
<br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71024.jpg" border="0" alt="" /><br />
<b><font size="3">Steak ya nyoka</font></b><br />
<br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71025.jpg" border="0" alt="" /><br />
<b><font size="3">Mjusi mix na mboga!!</font></b><br />
<br />
<br />
<br />
<img src="http://www.yabdoo.com/users/26/gallery/1828_p71030.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<b>Huko Ma isia hakutupwi kitu kila kitu ni chakula hata nyama ya mbwa paka ni chakula duhuuuu.....</b></p>
<br />
<br />
Jibu la swali lako ni NDIYO. Wachina wenyewe wameshakula vyakula hivyo. Ila mm ningependa kutaste hiyo curry ya Mende,it looks so apetising and delicious
 
kuna kiumbe kinachotembea kwa uhuru China
bila kuhofia kukamatwa na kufanywa mlo??
(ukiacha watu)
Hakuna Wachina Wapo zaidi ya Watu billioni moja je kutakuwa na ng'ombe wangapi? watakao wezesha kuliwa kila siku? kuku wangapi watakao wezesha kuliwa kila siku? itabidi wale hao wadudu chura,nyoka, mijusi,mende Panya na kadhalika ili waweze kutosheleza mlo wa siku. Hapo kwetu tuna wanyama wengi tu kuzidi hata Raia wenyewe Wa Tanzania wote hatuwezi kuizidii ya Watu millioni 45? Ni Sawa Sawa na kijiji kimoja cha Watu huko china. Tetehteteh tehteh
 
Hakuna Wachina Wapo zaidi ya Watu billioni moja je kutakuwa na ng'ombe wangapi? watakao wezesha kuliwa kila siku? kuku wangapi watakao wezesha kuliwa kila siku? itabidi wale hao wadudu chura,nyoka, mijusi,mende Panya na kadhalika ili waweze kutosheleza mlo wa siku. Hapo kwetu tuna wanyama wengi tu kuzidi hata Raia wenyewe Wa Tanzania wote hatuwezi kuizidii ya Watu millioni 45? Ni Sawa Sawa na kijiji kimoja cha Watu huko china. Tetehteteh tehteh

Kwa kweli Mungu aliwapenda sana
wanyama pori ndo maana akawaka
Africa (wengi wao) lolz..
otherwise sasa tungekuwa
tunamsikilizia simba kwa mbali..
wengi wao wangekuwa history kama
dynasure, etc..
.
 
Dah konokono........ No Comment
Tanzania hii hii watu wanakula panya na chura, konokono kitu gani bana! LolBesides konokono huyo was specially produced for food in a very health conscious country :]
 
Kwa kweli Mungu aliwapenda sana
wanyama pori ndo maana akawaka
Africa (wengi wao) lolz..
otherwise sasa tungekuwa
tunamsikilizia simba kwa mbali..
wengi wao wangekuwa history kama
dynasure, etc..
.
Hao Wanyama pori wangelikuwa Bara la Asia basi ninavyofikiri mimi wangelikwisha mara moja kusengelikuwa tena na mnyama anayeitwa Simba, Tembo,Swala,kifaru,Pundamilia,nyati,Chita,Chui,Paa kongoni na wanyama wengine wengi tu ingelikuwa kama hadithi tu za akina abunuwasi.........
 
Hao Wanyama pori wangelikuwa Bara la Asia basi ninavyofikiri mimi wangelikwisha mara moja kusengelikuwa tena na mnyama anayeitwa Simba, Tembo,Swala,kifaru,Pundamilia,nyati,Chita,Chui,Paa kongoni na wanyama wengine wengi tu ingelikuwa kama hadithi tu za akina abunuwasi.........

Inatisha..
 
Watanzania jaribu nanyi kula huenda akilizenu zikaenda zaidi kwenye kazi na kuuweka uvivu kando kama wenzetu wachina
 
Mi ukinipa nakula, kwani kuna shida gani bhana! Hata nyama ya mbwa iliyorostwa nitakula. Chamsingi iwekatika maandalizi sahii.
 
Haya kula hizi mkuu<br />
<br />
<br />
<hr /><p style="text-align: center;"><b><span style="font-family: Comic Sans MS"><font size="5"><font color="darkred">nyama za nyoka na kenge wa kichina</font></font></span></b><br />
<br />
<br />
<img src="http://img534.imageshack.us/img534/5692/image002ih.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<br />
<img src="http://img52.imageshack.us/img52/5193/image004p.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<br />
<img src="http://img692.imageshack.us/img692/5076/image005so.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<br />
<img src="http://img190.imageshack.us/img190/8907/image008mm.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<br />
<img src="http://img411.imageshack.us/img411/8863/image010h.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<br />
<img src="http://img196.imageshack.us/img196/9194/image011tz.jpg" border="0" alt="" /></p>
<br />
<br />
mama weee! Duh! Inahitaji moyo kidogo. :) ila nitakula tu, mbona wao hawafi? Nami nitaendelea kudunda tu. Hiyo misosi inaongeza maisha. :)
 
Wachina bwana wanajua kupika chakula, pia jamaa wanakula ile mbaya,mh kukikuta nyoka kaungwa vema wala huwezi tamb kama ni nyoka, utakula tu.
 
Nilichopenda ni ile mix ya Mijusi na mboga - yaani hapa unabalance protein na mboga mboga - Kumbukeni - Kuleni kuku mayai mboga maziwa - yote yamo ndani ya mchanganyiko wa Mijusi na Mboga

Ramadhan Kareem
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom