Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Suala la kuniibia nilisamehe ila dhamira ya kuniibia ndio iliyoniumiza, kila siku najiuliza nilimkosea nini?Pole sana kwa mafadhaiko uliyokuwa nayo kipindi hicho.... Ila naamini kwa sasa yameisha, kikubwa kinachokusumbua ni kutokusahau hilo tukio...