Kuna mtu wa kumuamini Lissu na CHADEMA yote kwa sasa

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
Leo Mwenyekiti mtendi wa ACACIA duniani Professa John L.Thornton amewatoa taulo viongozi wa chadema wa wakiongozwa na bwana Tundu Lissu baada ya kukuabali kutulipa kodi zote zinazofikia Trilion 100 pamoja na gharama nyingine badala ya kwenda mahakamani kuishtaki Tanzania katika mahakama za kimataifa za biashara kama vile Tundu Lissu alivyokua anawadanganya wafuasi wake kua Tanzania itashtakiwa na ACACIA kwa kuvunja mkataba.

Hii imedhihirisha jinsi chadema inavyotumia nguvu kubwa kupotosha wananchi wengi katika mambo mengi ukiachilia mbali hili la mchanga.
Chadema na Lissu (Advocate Tumbo) walishapoteza uhalali wao wa kusema ukweli tangu mwaka 2015 kwa hatua yao ya kumpokea fisadi na sasa wanaendeleza mbinu zile zile za uongo na ghiliba kupotosha wananchi.

MUNGU hamfichi mnafki leo hii chadema na Lissu wameumbuka mchana kweupe yale waliyowadangaya na kuwatisha Watanzania yamepingwa vikali na Mwenyekiti huyo wa ACACIA kwa kusema kampuni hiyo haitoishtaki Tanzania badala yake italipa deni na kujenga kiwanda cha kuchenjulia dhahabu (Smelter) hapa hapa nchini kitakachotoa ajira kwa maelfu ya vijana wa kitanzania.

Katika hili Mh Magufuli ametengeneza faida mara mbili kwanza amewezesha nchi kupata fedha nyingi kwa mara moja na pili amewezesha upatikanaji wa ajira kupitia kiwanda hicho kitakachojengwa na ACACIA hivyo kutekeleza ile ahadi ya ujenzi wa uchumi wa Tanzania ya viwanda kwa vitendo.

Tuendelee kumuunga mkono Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania mpya isiyo na ufisadi ,rushwa ,ukwepaji kodi ,uhujumu uchumi na unyonyaji.

Augustino Chiwinga.
 
Aisee unatia huruma kwasababu inaonekana lugha ya malikia inakusumbua.
Hebu tafadhari tafuta link ya videoya huyo mwenyekiti wa barrick baadae ndio uje uandike juu Uzi wako na kama INA kusumbua omba mtu akutafasilie
 
Leo Mwenyekiti mtendi wa ACACIA duniani Professa John L.Thornton amewatoa taulo viongozi wa chadema wa wakiongozwa na bwana Tundu Lissu baada ya kukuabali kutulipa kodi zote zinazofikia Trilion 100 pamoja na gharama nyingine badala ya kwenda mahakamani kuishtaki Tanzania katika mahakama za kimataifa za biashara kama vile Tundu Lissu alivyokua anawadanganya wafuasi wake kua Tanzania itashtakiwa na ACACIA kwa kuvunja mkataba.

Hii imedhihirisha jinsi chadema inavyotumia nguvu kubwa kupotosha wananchi wengi katika mambo mengi ukiachilia mbali hili la mchanga.
Chadema na Lissu (Advocate Tumbo) walishapoteza uhalali wao wa kusema ukweli tangu mwaka 2015 kwa hatua yao ya kumpokea fisadi na sasa wanaendeleza mbinu zile zile za uongo na ghiliba kupotosha wananchi.

MUNGU hamfichi mnafki leo hii chadema na Lissu wameumbuka mchana kweupe yale waliyowadangaya na kuwatisha Watanzania yamepingwa vikali na Mwenyekiti huyo wa ACACIA kwa kusema kampuni hiyo haitoishtaki Tanzania badala yake italipa deni na kujenga kiwanda cha kuchenjulia dhahabu (Smelter) hapa hapa nchini kitakachotoa ajira kwa maelfu ya vijana wa kitanzania.

Katika hili Mh Magufuli ametengeneza faida mara mbili kwanza amewezesha nchi kupata fedha nyingi kwa mara moja na pili amewezesha upatikanaji wa ajira kupitia kiwanda hicho kitakachojengwa na ACACIA hivyo kutekeleza ile ahadi ya ujenzi wa uchumi wa Tanzania ya viwanda kwa vitendo.

Tuendelee kumuunga mkono Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania mpya isiyo na ufisadi ,rushwa ,ukwepaji kodi ,uhujumu uchumi na unyonyaji.

Augustino Chiwinga.
Mavi yako nani alipe,mtaisoma mafisi kwa sanaa zenu mnazodanganya kila siku,kwa Taarifa yako Acacia wamesema hawajakubaliana lolote kuhusu kulipa.
 
Leo Mwenyekiti mtendi wa ACACIA duniani Professa John L.Thornton amewatoa taulo viongozi wa chadema wa wakiongozwa na bwana Tundu Lissu baada ya kukuabali kutulipa kodi zote zinazofikia Trilion 100 pamoja na gharama nyingine badala ya kwenda mahakamani kuishtaki Tanzania katika mahakama za kimataifa za biashara kama vile Tundu Lissu alivyokua anawadanganya wafuasi wake kua Tanzania itashtakiwa na ACACIA kwa kuvunja mkataba.

Hii imedhihirisha jinsi chadema inavyotumia nguvu kubwa kupotosha wananchi wengi katika mambo mengi ukiachilia mbali hili la mchanga.
Chadema na Lissu (Advocate Tumbo) walishapoteza uhalali wao wa kusema ukweli tangu mwaka 2015 kwa hatua yao ya kumpokea fisadi na sasa wanaendeleza mbinu zile zile za uongo na ghiliba kupotosha wananchi.

MUNGU hamfichi mnafki leo hii chadema na Lissu wameumbuka mchana kweupe yale waliyowadangaya na kuwatisha Watanzania yamepingwa vikali na Mwenyekiti huyo wa ACACIA kwa kusema kampuni hiyo haitoishtaki Tanzania badala yake italipa deni na kujenga kiwanda cha kuchenjulia dhahabu (Smelter) hapa hapa nchini kitakachotoa ajira kwa maelfu ya vijana wa kitanzania.

Katika hili Mh Magufuli ametengeneza faida mara mbili kwanza amewezesha nchi kupata fedha nyingi kwa mara moja na pili amewezesha upatikanaji wa ajira kupitia kiwanda hicho kitakachojengwa na ACACIA hivyo kutekeleza ile ahadi ya ujenzi wa uchumi wa Tanzania ya viwanda kwa vitendo.

Tuendelee kumuunga mkono Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania mpya isiyo na ufisadi ,rushwa ,ukwepaji kodi ,uhujumu uchumi na unyonyaji.

Augustino Chiwinga.
Trilion 100 kwa fikra zako finyu unajua zitalipwa kipuuzi hivyo? Yaani hiyo imepita Acacia itaendelea kufanya kazi kama kawaida, na hizo trilion 100 mtazisikia hewani tu.
 
Leo Mwenyekiti mtendi wa ACACIA duniani Professa John L.Thornton amewatoa taulo viongozi wa chadema wa wakiongozwa na bwana Tundu Lissu baada ya kukuabali kutulipa kodi zote zinazofikia Trilion 100 pamoja na gharama nyingine badala ya kwenda mahakamani kuishtaki Tanzania katika mahakama za kimataifa za biashara kama vile Tundu Lissu alivyokua anawadanganya wafuasi wake kua Tanzania itashtakiwa na ACACIA kwa kuvunja mkataba.

Hii imedhihirisha jinsi chadema inavyotumia nguvu kubwa kupotosha wananchi wengi katika mambo mengi ukiachilia mbali hili la mchanga.
Chadema na Lissu (Advocate Tumbo) walishapoteza uhalali wao wa kusema ukweli tangu mwaka 2015 kwa hatua yao ya kumpokea fisadi na sasa wanaendeleza mbinu zile zile za uongo na ghiliba kupotosha wananchi.

MUNGU hamfichi mnafki leo hii chadema na Lissu wameumbuka mchana kweupe yale waliyowadangaya na kuwatisha Watanzania yamepingwa vikali na Mwenyekiti huyo wa ACACIA kwa kusema kampuni hiyo haitoishtaki Tanzania badala yake italipa deni na kujenga kiwanda cha kuchenjulia dhahabu (Smelter) hapa hapa nchini kitakachotoa ajira kwa maelfu ya vijana wa kitanzania.

Katika hili Mh Magufuli ametengeneza faida mara mbili kwanza amewezesha nchi kupata fedha nyingi kwa mara moja na pili amewezesha upatikanaji wa ajira kupitia kiwanda hicho kitakachojengwa na ACACIA hivyo kutekeleza ile ahadi ya ujenzi wa uchumi wa Tanzania ya viwanda kwa vitendo.

Tuendelee kumuunga mkono Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania mpya isiyo na ufisadi ,rushwa ,ukwepaji kodi ,uhujumu uchumi na unyonyaji.

Augustino Chiwinga.
Huu ujinga nenda kamuuzie mumeo unafikiri trilioni 100 zinatoka kama unapopewa shs 1000 za kununua nyanya na mumeo?
 
Chadema nilishawashtukia kitambo sana ni chama kisichofaa, kadri siku zinazidi kwenda nakuwa proved I was right.
 
Leo Mwenyekiti mtendi wa ACACIA duniani Professa John L.Thornton amewatoa taulo viongozi wa chadema wa wakiongozwa na bwana Tundu Lissu baada ya kukuabali kutulipa kodi zote zinazofikia Trilion 100 pamoja na gharama nyingine badala ya kwenda mahakamani kuishtaki Tanzania katika mahakama za kimataifa za biashara kama vile Tundu Lissu alivyokua anawadanganya wafuasi wake kua Tanzania itashtakiwa na ACACIA kwa kuvunja mkataba.

Hii imedhihirisha jinsi chadema inavyotumia nguvu kubwa kupotosha wananchi wengi katika mambo mengi ukiachilia mbali hili la mchanga.
Chadema na Lissu (Advocate Tumbo) walishapoteza uhalali wao wa kusema ukweli tangu mwaka 2015 kwa hatua yao ya kumpokea fisadi na sasa wanaendeleza mbinu zile zile za uongo na ghiliba kupotosha wananchi.

MUNGU hamfichi mnafki leo hii chadema na Lissu wameumbuka mchana kweupe yale waliyowadangaya na kuwatisha Watanzania yamepingwa vikali na Mwenyekiti huyo wa ACACIA kwa kusema kampuni hiyo haitoishtaki Tanzania badala yake italipa deni na kujenga kiwanda cha kuchenjulia dhahabu (Smelter) hapa hapa nchini kitakachotoa ajira kwa maelfu ya vijana wa kitanzania.

Katika hili Mh Magufuli ametengeneza faida mara mbili kwanza amewezesha nchi kupata fedha nyingi kwa mara moja na pili amewezesha upatikanaji wa ajira kupitia kiwanda hicho kitakachojengwa na ACACIA hivyo kutekeleza ile ahadi ya ujenzi wa uchumi wa Tanzania ya viwanda kwa vitendo.

Tuendelee kumuunga mkono Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania mpya isiyo na ufisadi ,rushwa ,ukwepaji kodi ,uhujumu uchumi na unyonyaji.

Augustino Chiwinga.

df1fb1fbaf4818877ecc4023369cc15c.jpg
 
Leo Mwenyekiti mtendi wa ACACIA duniani Professa John L.Thornton amewatoa taulo viongozi wa chadema wa wakiongozwa na bwana Tundu Lissu baada ya kukuabali kutulipa kodi zote zinazofikia Trilion 100 pamoja na gharama nyingine badala ya kwenda mahakamani kuishtaki Tanzania katika mahakama za kimataifa za biashara kama vile Tundu Lissu alivyokua anawadanganya wafuasi wake kua Tanzania itashtakiwa na ACACIA kwa kuvunja mkataba.

Hii imedhihirisha jinsi chadema inavyotumia nguvu kubwa kupotosha wananchi wengi katika mambo mengi ukiachilia mbali hili la mchanga.
Chadema na Lissu (Advocate Tumbo) walishapoteza uhalali wao wa kusema ukweli tangu mwaka 2015 kwa hatua yao ya kumpokea fisadi na sasa wanaendeleza mbinu zile zile za uongo na ghiliba kupotosha wananchi.

MUNGU hamfichi mnafki leo hii chadema na Lissu wameumbuka mchana kweupe yale waliyowadangaya na kuwatisha Watanzania yamepingwa vikali na Mwenyekiti huyo wa ACACIA kwa kusema kampuni hiyo haitoishtaki Tanzania badala yake italipa deni na kujenga kiwanda cha kuchenjulia dhahabu (Smelter) hapa hapa nchini kitakachotoa ajira kwa maelfu ya vijana wa kitanzania.

Katika hili Mh Magufuli ametengeneza faida mara mbili kwanza amewezesha nchi kupata fedha nyingi kwa mara moja na pili amewezesha upatikanaji wa ajira kupitia kiwanda hicho kitakachojengwa na ACACIA hivyo kutekeleza ile ahadi ya ujenzi wa uchumi wa Tanzania ya viwanda kwa vitendo.

Tuendelee kumuunga mkono Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania mpya isiyo na ufisadi ,rushwa ,ukwepaji kodi ,uhujumu uchumi na unyonyaji.

Augustino Chiwinga.
Watanzania bwana! Ku analyze issues bado kabisa
 
Leo Mwenyekiti mtendi wa ACACIA duniani Professa John L.Thornton amewatoa taulo viongozi wa chadema wa wakiongozwa na bwana Tundu Lissu baada ya kukuabali kutulipa kodi zote zinazofikia Trilion 100 pamoja na gharama nyingine badala ya kwenda mahakamani kuishtaki Tanzania katika mahakama za kimataifa za biashara kama vile Tundu Lissu alivyokua anawadanganya wafuasi wake kua Tanzania itashtakiwa na ACACIA kwa kuvunja mkataba.

Hii imedhihirisha jinsi chadema inavyotumia nguvu kubwa kupotosha wananchi wengi katika mambo mengi ukiachilia mbali hili la mchanga.
Chadema na Lissu (Advocate Tumbo) walishapoteza uhalali wao wa kusema ukweli tangu mwaka 2015 kwa hatua yao ya kumpokea fisadi na sasa wanaendeleza mbinu zile zile za uongo na ghiliba kupotosha wananchi.

MUNGU hamfichi mnafki leo hii chadema na Lissu wameumbuka mchana kweupe yale waliyowadangaya na kuwatisha Watanzania yamepingwa vikali na Mwenyekiti huyo wa ACACIA kwa kusema kampuni hiyo haitoishtaki Tanzania badala yake italipa deni na kujenga kiwanda cha kuchenjulia dhahabu (Smelter) hapa hapa nchini kitakachotoa ajira kwa maelfu ya vijana wa kitanzania.

Katika hili Mh Magufuli ametengeneza faida mara mbili kwanza amewezesha nchi kupata fedha nyingi kwa mara moja na pili amewezesha upatikanaji wa ajira kupitia kiwanda hicho kitakachojengwa na ACACIA hivyo kutekeleza ile ahadi ya ujenzi wa uchumi wa Tanzania ya viwanda kwa vitendo.

Tuendelee kumuunga mkono Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania mpya isiyo na ufisadi ,rushwa ,ukwepaji kodi ,uhujumu uchumi na unyonyaji.

Augustino Chiwinga.
Jipe moyo kijana wa popo bawa utashinda
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom