July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 794
- Thread starter
- #21
uanze kujaza upya mheshimiwa, ingia selektd prgmrmssijakusoma kabisa hebu jaribu kufafanua.. ' Ku-update ' kitu gani tena maana umeniacha njia panda
uanze kujaza upya mheshimiwa, ingia selektd prgmrmssijakusoma kabisa hebu jaribu kufafanua.. ' Ku-update ' kitu gani tena maana umeniacha njia panda
Hiyo solution ya 123456 sina uhakika nayo kabisaaaaa keasababu mtu anaweza kufubgua account ambayo sio yake so uliye toa hiyo solution toa maelezo yakutosha ulikopata hizi taarifa, na ambao mmejaribu tupeni matokeo je imafanya kazi au la
Ingiza number 123456,then fuata maelekezo!