Kuna mtu kamdanganya Rais Magufuli juu ya Dodoma kuongoza kimapato; uhalisia wenyewe upo hivi!

Econometrician

JF-Expert Member
Oct 25, 2013
15,795
28,453
Kutokana na takwimu zilizo katika website ya TAMISEMI (PORALG - Local Government Revenue Collection Dashboard) ni kweli kama alivyo sema Rais Magufuli, Mkoa wa Dodoma kwa ujumla unaongoza kwa mapato kwenye huu mwaka wa fedha kwa makusanyo ya kuanzia tarehe 01/07/2018 hadi jana 31/07/2018 yani makusanyo ya mwezi moja tu. Makusanyo haya ni kwa vile vyanzo vya mapato ya halmashauri sio Serikali kuu.

Kwa kutumia takwimu hizo hizo za TAMISEMI ndio maana ninasema Rais amedanganywa aidha na Waziri wake au yeyote aliyempa taarifa hizo.
Screenshot from 2018-08-02 01-16-19.png

Makusanyo ya Dodoma yamejumuisha makusanyo ya Halmashauri zote 8 ni Tshs.3,670,314,500.69 (PORALG - Local Government Revenue Collection Dashboard)
Screenshot from 2018-08-02 01-15-04.png

na mapato kwa Mkoa wa Dar es Salaam yenye Halmashauri 6 yameonyeshwa ni Tshs.733,608,741.82 (PORALG - Local Government Revenue Collection Dashboard) kitu ambacho sio kweli kwani hayo ni mapato ya Halmashauri 2 tu yani Kigamboni na Ubungo ndio yamewekwa kwenye mfumo.

Hivyo kwa takwimu hizo, Rais Magufuli amedanganywa hata kama alikuwa anazungumzia mwaka wa fedha ulioisha 2017/2018 bado Dodoma haijafikia DSM
 
Last edited by a moderator:
TAX ITEM

Ilala 167,280.6
Kinondoni 97,167.9
Temeke 44,651.6
Arusha 48,076.3
Coast 8,033.2
Dodoma 13,711.3
Iringa 8,271.4
Kagera 3,495.9
Kigoma 3,135.8
Kilimanjaro 18,732.4
Lindi 1,565.3
Mara 4,140.8
Mbeya 8,369.2
Morogoro 15,015.4
Mtwara 3,762.3
Mwanza 17,120.5
Ruvuma 2,172.2
Shinyanga 2,265.6
Singida 1,649.8
Tabora 2,673.1
Tanga 8,301.5
Rukwa 1,452.0
Manyara 2,839.9

Total 483,883.8

Bahati mbaya document nzima imegoma kupanda lakini ukiingia website ya TRA kwenye Tax statistics utaona kila kitu, mfano inaonekana Ilala ndo inaongoza kwa makusanyo. KWA UNYENYEKEVU NAOMBA KUELIMISHWA

http://www.tra.go.tz/images/uploads/Laws/RegionalTaxStatistics2015-16.xls
 
Last edited by a moderator:
TAX ITEM

Ilala 167,280.6
Kinondoni 97,167.9
Temeke 44,651.6
Arusha 48,076.3
Coast 8,033.2
Dodoma 13,711.3
Iringa 8,271.4
Kagera 3,495.9
Kigoma 3,135.8
Kilimanjaro 18,732.4
Lindi 1,565.3
Mara 4,140.8
Mbeya 8,369.2
Morogoro 15,015.4
Mtwara 3,762.3
Mwanza 17,120.5
Ruvuma 2,172.2
Shinyanga 2,265.6
Singida 1,649.8
Tabora 2,673.1
Tanga 8,301.5
Rukwa 1,452.0
Manyara 2,839.9

Total 483,883.8

Bahati mbaya document nzima imegoma kupanda lakini ukiingia website ya TRA kwenye Tax statistics utaona kila kitu, mfano inaonekana Ilala ndo inaongoza kwa makusanyo. KWA UNYENYEKEVU NAOMBA KUELIMISHWA

Obvious, dar es salaam, residents have moved to dodoma? And mostly wakubwa coming from kinondoni where wakubwa wengi wanaishi?? Hutakiwi hata kujiuliza mara mbili?
 
Mambo mengine wala huna hajayakulijadili. Unaona ni siasa tu km vile wabunge wakijiunga n upinzani n kupewa zawadi ya kugombea tena. Hata mtt mdogo anajua ni rushwa tu. Sikuliza hoja za wabunge toka upinzani n kujiunga n ccm wakiwa bunge. Ghafla kasau anasema anaiunga serikali n mkulu mkono. Unafiki mtu.
 
Back
Top Bottom