jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 614
- 1,113
Wapendwa najua mtakuwa wazima sana moja kwa moja twende katika mada yangu ya leo...japo uandishi wangu ni 0
kwa wakazi wa Tarime na Kanda ya Ziwa kwa ujumla najua mtakuwa mnamfahamu huyu tajiri wa mabus yenye safari zake Tarime kwenda Mwanza na Tarime kwenda Arusha kupitia njia ya Serengeti huyu tajiri Kuna mtu anayejua alipo kwa sasa maana alikuwa ni mgonjwa.
kwa wakazi wa Tarime na Kanda ya Ziwa kwa ujumla najua mtakuwa mnamfahamu huyu tajiri wa mabus yenye safari zake Tarime kwenda Mwanza na Tarime kwenda Arusha kupitia njia ya Serengeti huyu tajiri Kuna mtu anayejua alipo kwa sasa maana alikuwa ni mgonjwa.