Mmmmh..... kama ni ghiliba za utawala wa Magu,atakua hana hamu nao kabisa.Dizaini kama vile vituo vyake vya mafuta na majori ya kubeba mafuta vilitaifishwa mwaka jana au mwaka huu mwanzoni
Kesi ya lini mkuuJamaa yuko Gerezani butimba kwa kesi ya kumpiga Risasi mfanyakazi wake
TISS au vibaka wa Jiwe wale ?Aliyekoswa koswa na TEETH?
Sio kwamba unachanganya Mkuu!!Jamaa yuko Gerezani butimba kwa kesi ya kumpiga Risasi mfanyakazi wake
Itakuwa ingawa huyu jamaa wanaomjua wanasema alikuwa mtata sana.Mm
Mmmmh..... kama ni ghiliba za utawala wa Magu,atakua hana hamu nao kabisa.
Jamaa kwa taarifa za awali,alikua mtata,kukosekana kwa taarifa nyingi juu yake,yawezekana utawala wa Magu ulikula nae sahani moja,akasarenda.Itakuwa ingawa huyu jamaa wanaomjua wanasema alikuwa mtata sana.
Hiki kitendo alikifanya nikiwa mdogo Sana enzi npo primary school nlkuwa napata tetesi jamaa alivyokuwa anateseka na majeraha ya acid naumia sana..mpaka akafariki acid ilikuwa imemuhalibu uso vibaya mno....2001 alimwagia dereva wa basi la Bunda bus service tindikali kutokana na ushindani nakumbuka tukio lilifanyika alfajiri,jamaa alitesa watu mnoo mfanyakazi wake alinunua uwanja au kujenga alinyang'anywa
Acha umbea, aliyekwambia yupo jela nani? Z yupo uraiani siku zote. Kesi yake aliyokuwa nayo ilisha kitambo sana.Kweli kabisa huyu jamaa alisumbua Sana watu Wnzi za Kikwete. Kipindi cha Magu alifinywasana na ndicho kipindi slipotea.
Huyu jamaa sio mgonjwa nadhani alipigwa jela kimya kimya
Hii niliisikia kipindi hicho bado Niko mdogo2001 alimwagia dereva wa basi la Bunda bus service tindikali kutokana na ushindani nakumbuka tukio lilifanyika alfajiri,jamaa alitesa watu mnoo mfanyakazi wake alinunua uwanja au kujenga alinyang'anywa