Hakuna kitu kinaitwa Sukumagang alafu ata waliopenda falsafa za Magufuli hawafungamanu ata kidogo aina ya sera za Chadema!Nimemwambia ingekuwa Kenya wangefanya hivyo lakini hawa Sukuma Gang washamba sana. Mshamba anamwomba mjanja (Chadema). Hawezi kuugana nae hata siku Moja wacha waisome namba.
Weye wafungamana na umoja na Ilhali ni mwana Sgang 🏃Hakuna kitu kinaitwa Sukumagang alafu ata waliopenda falsafa za Magufuli hawafungamanu ata kidogo aina ya sera za Chadema!
Ata mimi mwenyewe sifungamani na sera za Chadema ambazo hazieleweki! Ziko Zigzag!
Hiki ulichoondika ndiyo kinafanya vyama vingi vya siasa hada upinzani vipoteze! Vyenyewe kila mtu vinaweza kumshambulia na kesho vikawa ndo mzuri kwao, hawaangalii ata mlengo wa siasa za huyo mtu kama wanaendana au lah! Wao wanabeba tu kesho na kesho kutwa mtu anarudi alikotoka alafu mnashamgaana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
They are omnipresenttatizo hao unaowaita Boyz 2 men ndio CDM na ndio SKM gang pia, kifupi they are running the game all over..
Bad premise.Nimemwambia ingekuwa Kenya wangefanya hivyo lakini hawa Sukuma Gang washamba sana. Mshamba anamwomba mjanja (Chadema). Hawezi kuugana nae hata siku Moja wacha waisome namba.
Mleta mada haijui nguvu ya pesa bado.Hata wasipokuwa washamba huo muunganiko utavurugwa ila kwa jicho la hela naona kuna hela hapo..
Mtu bado yupo ndani ananyia ndoo inakuwaje unasema yupo uraiani?Haya Sabaya yupo uraiani,wajuvi mtwambie huyu,
Atakausha Kwanza?
Ataungana na CCM asilia,kwakuwa somo kashapata?
Ataungana na Chama kipya,labda kwakuwa watu wa Kariba yake wapo kule?
Unaonekana unapitwa na mambo mengiMtu bado yupo ndani ananyia ndoo inakuwaje unasema yupo uraiani?
Upinzani ulipotezwa kipindi Cha dikteta uchwara.kununua,kuua,kupiga marufuku siasa etc etc etc.ndo mana tunataka katiba mpyaHakuna kitu kinaitwa Sukumagang alafu ata waliopenda falsafa za Magufuli hawafungamanu ata kidogo aina ya sera za Chadema!
Ata mimi mwenyewe sifungamani na sera za Chadema ambazo hazieleweki! Ziko Zigzag!
Hiki ulichoondika ndiyo kinafanya vyama vingi vya siasa hada upinzani vipoteze! Vyenyewe kila mtu vinaweza kumshambulia na kesho vikawa ndo mzuri kwao, hawaangalii ata mlengo wa siasa za huyo mtu kama wanaendana au lah! Wao wanabeba tu kesho na kesho kutwa mtu anarudi alikotoka alafu mnashamgaana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafanana kwa udiktetaNimemwambia ingekuwa Kenya wangefanya hivyo lakini hawa Sukuma Gang washamba sana. Mshamba anamwomba mjanja (Chadema). Hawezi kuugana nae hata siku Moja wacha waisome namba.
Naona wewe ni mgeni wa siasa za Tanzania hivi unadhani hao unaowaita Sukuma gang wanaweza kuungana na msaliti mwenyekiti wa SACCOS ya kaskazini,hivi hujui kama mwenyekiti wa SACCOS katumiwa kama big G na Mtoto wa mjini kwa kumhujumu mwendazake? mwenyekiti wenu ni mmoja wa genge linalojulikana kama Wahuni pamoja na kuwa yupo upande wa pili ni mfuasi na mtiifu /kibaraka cha Mtoto wa mjini pamoja na yule mbelgiji wenu, mtoto wa mjini anawaendesha kwa kutumia remote control, jiulize vipi habari za kuumwa kwa mwendazake alizipataje.Nimemwambia ingekuwa Kenya wangefanya hivyo lakini hawa Sukuma Gang washamba sana. Mshamba anamwomba mjanja (Chadema). Hawezi kuugana nae hata siku Moja wacha waisome namba.