Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,168
- 7,513
Hapa natanguliza tu shukuran kwa atakaenisaidia Kwa huyu ndugu yangu (sio mimi)
Hivi kwa matokeo haya ina maana ndio anarudia mwaka mzima somo moja au inakuaje?? maana haelewi na mimi sielewi sababu somo alilo cary ni la sec.semister,sasa hapa iakuaje wakuu??
Kama anarudia mwaka mzma ina mana atalisoma hlo somo 1st semista na sec.semista?? na kuhusu Ada inakuaje hapo wakuu ndio kulipa ada ya mwaka mzima au vipi??
Sielewi mbele wala nyuma ata kumshauri sijui..Kama mnavyoona apo GPA haijajazwa wala Class,wajuvi wa mambo pls nisaidien uyu ndgu yangu ajue nn chakufanya.
1.kurudia mwaka mzima???? au
2.kurudia semista moja ya somo alofeli??
vipi kuhusu Ada kama atahitajika kurudia mwaka mzma??
Hivi kwa matokeo haya ina maana ndio anarudia mwaka mzima somo moja au inakuaje?? maana haelewi na mimi sielewi sababu somo alilo cary ni la sec.semister,sasa hapa iakuaje wakuu??
Kama anarudia mwaka mzma ina mana atalisoma hlo somo 1st semista na sec.semista?? na kuhusu Ada inakuaje hapo wakuu ndio kulipa ada ya mwaka mzima au vipi??
Sielewi mbele wala nyuma ata kumshauri sijui..Kama mnavyoona apo GPA haijajazwa wala Class,wajuvi wa mambo pls nisaidien uyu ndgu yangu ajue nn chakufanya.
1.kurudia mwaka mzima???? au
2.kurudia semista moja ya somo alofeli??
vipi kuhusu Ada kama atahitajika kurudia mwaka mzma??