moddybrown
Member
- May 2, 2016
- 27
- 25
Ukiuliza swali weka maelezo ya kutosha,Kibo ya wapi Moshi au DSM?
Moshi kuna tegeta?Ukiuliza swali weka maelezo ya kutosha,Kibo ya wapi Moshi au DSM?
Mbona unaulizwa swali la kiwaki sana? Hivi unajua maeneo mengi ya dsm hata mikoani yapo? Usikariri,ukitaja eneo be specific na mkoa wake,wewe unaweza ukasema kwamba moshi hakuna sehemu inaitwa tegeta kwa sababu haijui moshi yote.Moshi kuna tegeta?
Jibu lako ndio la kiwakiMbona unaulizwa swali la kiwaki sana? Hivi unajua maeneo mengi ya dsm hata mikoani yapo? Usikariri,ukitaja eneo be specific na mkoa wake,wewe unaweza ukasema kwamba moshi hakuna sehemu inaitwa tegeta kwa sababu haijui moshi yote.
Siwezi kujibu maswali ya kipuuzi,nimekuuliza unaijua moshi yote wewe? MBWEHA(FOX) sana wewe!!! Usijifanye kuleta ujuaji humu!! Mnaanza matusi wenyewe mkipewa SHIT mnakimbilia kwa MOD kupata BACKUP.Jibu lako ndio la kiwaki
Povu limekutoka kwa swali dogo tu la kujibu NDIO au HAPANA
Phuck you!
Hata mie huwa sijibu maswali ya kipuuzi mzeeSiwezi kujibu maswali ya kipuuzi,nimekuuliza unaijua moshi yote wewe? MBWEHA(FOX) sana wewe!!! Usijifanye kuleta ujuaji humu!! Mnaanza matusi wenyewe mkipewa SHIT mnakimbilia kwa MOD kupata BACKUP.
Sawa Ngoja nisubiri jibu la mtoa mada,kwamba anaulizia Kibo Tegeta ipi ya Moshi au DSM?Hata mie huwa sijibu maswali ya kipuuzi mzee
Moshi kuna tegeta?
Wapi nimeshindana?Ndiyo. Hata Dar es Salaam ipo.
Ukisahihishwa, kubali. Acha kushindana!
Wapi nimeshindana?
Haaaaa mkuu huyo fox umemuweza pumbavu zakeSiwezi kujibu maswali ya kipuuzi,nimekuuliza unaijua moshi yote wewe? MBWEHA(FOX) sana wewe!!! Usijifanye kuleta ujuaji humu!! Mnaanza matusi wenyewe mkipewa SHIT mnakimbilia kwa MOD kupata BACKUP.
Acha ugomvu Kwanza ulidandia swali lake pili hukutaka kuelekezwa unabisha vitu visivyo na mantiki tatu umeanza kumtukana wewe tunapokosea tuwe tunakubal...Jibu lako ndio la kiwaki
Povu limekutoka kwa swali dogo tu la kujibu NDIO au HAPANA
Phuck you!
Namnukuu, amesema kibo tegetaUkiuliza swali weka maelezo ya kutosha,Kibo ya wapi Moshi au DSM?