Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Haya ni mapokezi tu na hii ni ishara tosha kuwa kusahau matatizo ya wananchi na kuwekeza kwenye miundombonu pekee hakuwezi kuicha CCM salama.
Jengeni miundombinu lakini kamwe sio kuijenga kwa gharama vitu vingine muhimu kwa binadamu kama uhuru wa maoni, utu, maji, ajira,haki na usawa, maslahi bora ya wafanyakazi,n.k.
Tume kutokuwa huru hakutazuia wapiga kura kuwaonyesha hisia zao na mtajionea wakati ukifika.
Kuna sehrmu mkija kutaja Bombardier au Dreamliner, wanawanchi wanaweza kuguna kama sio kuzomea.
Tunahitaji miundombinu, tunahitaji ndege, tunahitaj treni ya umeme, n.k lakini kwa kuangalia na mahitaji mengine yanayogusa maisha ya kila siku ya watu mijini na vijijini.
Imeandikwa, mwanadamu hataishi kwa mkate tu bali kwa.........(malizia mwenyewe).
Jengeni miundombinu lakini kamwe sio kuijenga kwa gharama vitu vingine muhimu kwa binadamu kama uhuru wa maoni, utu, maji, ajira,haki na usawa, maslahi bora ya wafanyakazi,n.k.
Tume kutokuwa huru hakutazuia wapiga kura kuwaonyesha hisia zao na mtajionea wakati ukifika.
Kuna sehrmu mkija kutaja Bombardier au Dreamliner, wanawanchi wanaweza kuguna kama sio kuzomea.
Tunahitaji miundombinu, tunahitaji ndege, tunahitaj treni ya umeme, n.k lakini kwa kuangalia na mahitaji mengine yanayogusa maisha ya kila siku ya watu mijini na vijijini.
Imeandikwa, mwanadamu hataishi kwa mkate tu bali kwa.........(malizia mwenyewe).