Kuna Mtanzania bado anaamini nchi hii ni masikini na inahitaji misaada zaidi kujikwamua?

Umasikini wa Tanzania unazidi kuongezeka kila siku, hii ni kutokana na wananchi kuendelea kudanganywa kila siku.

Utajiri wa mali asili ni mkubwa rasilimali watu ni nyingi mno, akili kisoda za viongozi wetu ndio tatizo.

Viongozi wetu wanashindwa kutambua au wanaviacha makusudi vipaumbele vinavyoweza kumuinua mwananchi mmoja mmoja na kulifanya taifa liinuke jumla.

Hili linaweza likawa ni mpango wao ili waweze kuendelea kututawala milele maana masikini anatawaliwa kwa urahisi sana.

Viongozi wetu wanaogopa wananchi wanaojitambua.

Jingine ambalo naliona ni la kijinga pia ni kuacha kutatua matatizo ya nchi na kuanza kushindana na mataifa mengine, ili tuonekane nchi tajiri ni upumbavu tu.
 
Msema kweli tume huru ndiyo itakayo amua mbivu na mbichi, achana na hii ya ccm inayojipigia kura vichochoroni, ccm haijawahi kushinda uchaguzi na haitakuja kushinda,
CCM ilishinda kwa kura halali na kwakishindo mwaka 2005 na 2020.
Chaguzi zingine sina hakika sana
 
Wapumbavu wa mwendakuzimu wala hamuwezi kuisha na mtaendelea kuweweseka kenge nyinyi.

Shetani wenu ndio amesababisha MCC wakawithdraw msaada wa mradi wa dola million 700 kwa sababu ya kenge nyinyi.

Umeme wa Rea ni msaada kutoka kwa mabeberu, barabara mikoani zimewekwa lami kwa hisani ya watu wa marekani, lakini kenge mmoja umevimbiwa makande unakuja kujamba JF? Hovyo kabisa. View attachment 1979962
Wewe endelea kuwaita watu waenda kuzimu mimi nakwambia nchi hizi za kiafrika zimejaa watu wapumbavu wasio na ujasiri kazi yao kulamba watu makalio.Unafikiri hizo doll milioni 700 ni hela ya kukufanya ujikomboe? Ukombozi unaanzia kwenye fikra! Lazima update umasikini nao utakukimbia! Ila viongozi wote walio ukataa umasikini kama akina na Sankara na watu wengine wazalendo wa kiafrika walionekana hawana maana! Mwisho wa siku kuambulia kupata viongozi wapumbavu na wazurulaji tu!
 
Wewe endelea kuwaita watu waenda kuzimu mimi nakwambia nchi hizi za kiafrika zimejaa watu wapumbavu wasio na ujasiri kazi yao kulamba watu makalio.Unafikiri hizo doll milioni 700 ni hela ya kukufanya ujikomboe? Ukombozi unaanzia kwenye fikra! Lazima update umasikini nao utakukimbia! Ila viongozi wote walio ukataa umasikini kama akina na Sankara na watu wengine wazalendo wa kiafrika walionekana hawana maana! Mwisho wa siku kuambulia kupata viongozi wapumbavu na wazurulaji tu!
Real,unakuwa na kiongozi anaona sifa kualikwa Ikulu ya America na ulaya
 
Unamuua vipi mtu unaacha kuuwa kitabu chake,hizi dhana za killing ni muendelezo wa propaganda za enzi za vita baridi Mrusi akiwa engineer wa propaganda.
Unahitaji maombi ya kiroho haswa
 
Nawauliza Watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?

Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA

Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini, ina kila aina ya utajiri, akasisitiza Watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu, shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi, mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli.

Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.

Zama za MAGUFULI zimepita.

Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena, walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada. nasi tunashangilia kweli kweli.

Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.

Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?

Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa? It

Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?

"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja
Umsema ukweli,lakini watakuja kukupinga maadui wa ukweli
 
Nawauliza Watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?

Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA

Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini, ina kila aina ya utajiri, akasisitiza Watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu, shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi, mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli.

Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.

Zama za MAGUFULI zimepita.

Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena, walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada. nasi tunashangilia kweli kweli.

Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.

Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?

Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?

Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?

"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja
Tanzania sio masikini ila huyo unayejaribu kumpamba ndio masikini pamoja na wewe. Mnaoamnini umasikini unaondoka kwa slogani na maneno matamu matamu. Hebu nikuulize kitu?
1. Anayewaita watu wanyonge huku akisema nchi yao ni tajiri anaelewa anachosema kweli? Toka lini mwenye utajiri akawa mnyonge?
2. Magufuli kafanya lipi la ajabu ambalo watangulizi wake hawakufanya?
3. Kama Magufuli kaacha kutegemea misaada mbona katika kipindi chake deni la nje limekua kwa kasi kuliko watangulizi wake?

Narudia tena Tanzania sio masikini ila wwwe na unayejaribu kumpamba ndio masikini wa kutupwa. Mnachoongea na takwimu haviendani.
 
Back
Top Bottom