Kuna Mtanzania bado anaamini nchi hii ni masikini na inahitaji misaada zaidi kujikwamua?

Mkuu inaonekana unaeamini katika misaada,au nyie ni wanufaika binafsi wa hiyo misaada?,si hilo povu tutajikomboa kwa kufanya kazi na ubunifu ,sio misaada ,misaada mingine ndio maana tunaambiwa turuhusu na ndoa za jinsia moja , "wake up gay"
Tutajikomboa kwa uongozi upi sasa?chini ya hiki chama kinachotegemea akina kibaji na wengineo?
 
Nawauliza watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?

Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA

Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini ,ina kila aina ya utajiri ,akasisitiza watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu,shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi,mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli,

Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.

Zama za MAGUFULI zimepita.

Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena,walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada.nasi tunashangilia kweli kweli.

Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.

Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?

Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?

Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?

"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja
Omba omba ni tabia na ukishakuwanayo, huwezi kuiacha mpaka mtoaji aache kutoa.

Ikiwa watoaji bado wanaendelea kutoa, wavivu wa utumiaji wa ubongo wataendelea kuamini katika misaada.

Ni wajibu wa vyama vya siasa waje na siasa/maono mapya katika hili.
 
Wapumbavu wa mwendakuzimu wala hamuwezi kuisha na mtaendelea kuweweseka kenge nyinyi.

Shetani wenu ndio amesababisha MCC wakawithdraw msaada wa mradi wa dola million 700 kwa sababu ya kenge nyinyi.

Umeme wa Rea ni msaada kutoka kwa mabeberu, barabara mikoani zimewekwa lami kwa hisani ya watu wa marekani, lakini kenge mmoja umevimbiwa makande unakuja kujamba JF? Hovyo kabisa. View attachment 1979962
Hahah
 

Kusema sisi ni matajiri wakati hatuna teknolojia ya kufua umeme ni kujidanganya. Kusema sisi ni matajiri wakati tunategemea pesa ya utalii ni kujipa matumaini bandia.

Kusema sisi ni matajiri wakati chanjo ni ya mzungu ni kujidanganya ni kujipa matumaini ya kuwa siku moja tutakuwa na uwezo na mamlaka juu ya kila tulichobarikiwa na Mungu.

Hayati JPM alitujaza kiburi ambacho hatua inayofuata ilitakiwa iwe ni kukuza uwezo wetu ili tuendane sambamba na kile tulichopewa na Mungu.

 
Wapumbavu wa mwendakuzimu wala hamuwezi kuisha na mtaendelea kuweweseka kenge nyinyi.

Shetani wenu ndio amesababisha MCC wakawithdraw msaada wa mradi wa dola million 700 kwa sababu ya kenge nyinyi.

Umeme wa Rea ni msaada kutoka kwa mabeberu, barabara mikoani zimewekwa lami kwa hisani ya watu wa marekani, lakini kenge mmoja umevimbiwa makande unakuja kujamba JF? Hovyo kabisa. View attachment 1979962
Wafuate kwao kama una mahaba nao sana...Sisi hatuwataki na pipi zao; tuna nguvu na uwezo wa kujifanyia mambo yetu wenyewe
 
Two can be many...Hao wengi walikuwa wapi? Tuletee taswira/picha ya Dar mji mkuu wakati wa ukoloni tuone hao watu matajiri walikuwa nfiyo akija nani na wakoje....Tatizo la uswahili, maneno mengi, matendo zero!
Tambaza,Mzee Mbowe,Sewa Haji,nimekupa hawa unaowafahamu wengine huwezi wafahamu.
Mikoa yote 25 Mikuu ilijengwa na kupangika na wakoloni niambie mikoa mipya tuliyoanzisha mfano Geita,simiyu,songwe,nk inafika hata nusu na robo ya hio 25 ya kikoloni.
Tembea miji mikubwa uone jengo limeandikwa 1952,1956,nk.
Picha za Dar kabla ya UHURU zipo tele google Kazi kwako.Ujenzi holela wa makazi umeanza baada ya UHURU Hakuna mpangilio wa mji mfano sehemu ya makazi, viwanda,ibada, garden,viwanda vya michezo,nk.
 
Huhitaji kusoma sana kwenye hili ,tunatakiwa tuwe na mfumo wakiuchumi ambao wanasiasa hawatakiwi kuuchezea hapa siongelei 'National economy and social development strategy of the existing government' naongelea 'The structure of the Nation economy'. Mfano nchi ikiamua kutolipa madeni ya ndani inaua uchumi wake yenyewe eti unahakiki madeni ulikuwa wapi kuhakiki kabla ya kupewa huduma kuna mengi mno ya kuyasema,awamu ya 5 hata kama ulikuwa na mtaji ama elimu ya ujasiriamali ilikuwa ngumu sana kutoboa
Pia fahamu kwenye kuhakiki serikali iliokoa pesa nyingi sana ,upigaji ni jadi nchi hii
 
Hakuna msaada punda mmoja wewe!
Wakusaidie kama nani?
Unayoita misaada ni mikopo pendwa ya kimya kimya yenye madhara makubwa mbeleni.
Hakuna nchi wala familia inaweza kuendelea wala kuwa na amani kwakusaidiwa.
Mtumwa mmoja wewe!
Na nimekuita punda kwani hata punda huwa anaona anapendwa kwa kupewa malisho.
Ukipewa nyasi nyingi na maji yakutosha ujue unamzigo mkubwa wakubeba siku hiyo
Well Said
 
Ameicha nchi ikiwa ime ugua kiharusi,mtu mbaya ambaye hakujua kuwa kufanya miradi mingi tena mikubwa ingedhohofisha uchumi wetu , Ila kwa sababu alikuwa mpenda sifa, akaendela nayo huku wajinga flani wakiwa Wana mshangilia.
Kudorora kwa uchumi wetu chanzo kikubwa uongozi mbovu wa jpm.
Wewe boya kweli
 
Kwa hali ya kawaida huwezi kuwa ombaomba ukafanikiwa hata siku moja ni rule of the thumb...Sasa hawa ambao wanataka kutuaminisha ombaomba ndiyo staili ya kuondokana na umasikini huo ni ugunduzi mpya au theory hii wao ndiyo wanaianzisha kuua ile ya iliyoko miaka yote kwamba huwezi ukawa ombaomba kisha ukaondokana na utegemezi?
Inasikitisha sana kwakweli!
Noma sana ,wanajisifu kwa sasa eti misaada imefunguka kweli
 
J
Pia fahamu kwenye kuhakiki serikali iliokoa pesa nyingi sana ,upigaji ni jadi nchi hii
Je, kwa wale ambao hawakupiga kumbuka biashara nyingi zilikopa kwenye mabenki ,unadhani ninini kilitokea kwakutokulipa madeni kwa zaidi ya miaka 4 ama zaidi "many business were closed and confiscated'
 
Nawauliza watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?

Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA

Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini ,ina kila aina ya utajiri ,akasisitiza watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu,shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi,mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli,

Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.

Zama za MAGUFULI zimepita.

Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena,walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada.nasi tunashangilia kweli kweli.

Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.

Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?

Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?

Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?

"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja

uyo kiumbe hakuna wa kumkumbuka labda sukuma gang?
 
Kutegemea misaada ni matumizi mabaya ya akili,nchi ya 10 kwa raslimali duniani kuishi kwa kutegemea misaada ni kumkufuru Mungu
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom