demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Kuna mpango mkakati uko juu unaandaliwa.
Mpango huo unahusisha kuvitumia vikamilifu vyama vya michezo mbalimbai nchini hasa Mpira wa miguu ili ku-push idadi ya watu ambao hawaja chanjwa ili wachanjwe.
Kutatokea na kikao cha siri baadhi ya watu wale walio simamisha mechi ya simba na yanga na viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu. Kikao hiko kinalenga kumuhamasisha Mh rais wa shirikisho ili aruhusu mpango kazi wa kuunga mkono serikali katika jitihada za kuhakikisha walio wengi wana chanjwa.
Wiki kama chache zilizo pita tayari waganga wakuu wa wilaya kupitia ofisi za wakuu wa wilaya wamekwisha pewa vi-memo vyenye target ambayo wanatakiwa wahakikishe wanaifikia hiyo idadi ya namba ya wananchi ambao wanatakiwa wachanjwe. Ndio maana kuna baadhi ya wilaya zimeanza kuanzisha mabonanza ya soka ya muda mfupi huku ii hali kiingilio kikiwa ni utayari wa mashabiki kuchanjwa.
Pamoja na hilo, mpango wa nyumba kwa nyumba, kijiji kwa kijiji, kata kwa kata na tarafa kwa tarafa ukiwa unaendelea ili kuhakikisha idadi inasukumwa vilivyo.
Maoni yangu kwa Msomali Karia ni kuwa asije akaruhusu upuuzi unaopangwa ufanyike katika Ligi Yetu kama ikiwezekana waanzishe LigiKUU yao ili wakatekeezee huko huo mpango wao.
Mpango huo unahusisha kuvitumia vikamilifu vyama vya michezo mbalimbai nchini hasa Mpira wa miguu ili ku-push idadi ya watu ambao hawaja chanjwa ili wachanjwe.
Kutatokea na kikao cha siri baadhi ya watu wale walio simamisha mechi ya simba na yanga na viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu. Kikao hiko kinalenga kumuhamasisha Mh rais wa shirikisho ili aruhusu mpango kazi wa kuunga mkono serikali katika jitihada za kuhakikisha walio wengi wana chanjwa.
Wiki kama chache zilizo pita tayari waganga wakuu wa wilaya kupitia ofisi za wakuu wa wilaya wamekwisha pewa vi-memo vyenye target ambayo wanatakiwa wahakikishe wanaifikia hiyo idadi ya namba ya wananchi ambao wanatakiwa wachanjwe. Ndio maana kuna baadhi ya wilaya zimeanza kuanzisha mabonanza ya soka ya muda mfupi huku ii hali kiingilio kikiwa ni utayari wa mashabiki kuchanjwa.
Pamoja na hilo, mpango wa nyumba kwa nyumba, kijiji kwa kijiji, kata kwa kata na tarafa kwa tarafa ukiwa unaendelea ili kuhakikisha idadi inasukumwa vilivyo.
Maoni yangu kwa Msomali Karia ni kuwa asije akaruhusu upuuzi unaopangwa ufanyike katika Ligi Yetu kama ikiwezekana waanzishe LigiKUU yao ili wakatekeezee huko huo mpango wao.