HumbleBoy98
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 386
- 392
- Thread starter
- #161
Hii nayo inatajwa tajwa Sana hii🤨HOSTEL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nayo inatajwa tajwa Sana hii🤨HOSTEL
Kaijaribu mkuu
Me napenda kudownload movie kuanzia mb 800Quality si unachagua mwenyewe mkuu? Ishu bajeti yako ya bando tu!
Hapana..sipendi za mazombi na kuvunjika vunjika ila hizi zingine naangalia vizuriWe mdada huogopi hayo madude??
Ku ma mae zao walitutisha pimbi waleKweli tuliwaogopa enzi zile Shumileta, Nsyuka sijui Saladin hahah.
Nyumba ilikuwa na choo Cha nje Basi ukitoka kwenda kukojoa huingii chooni maana unahisi Kama Nsyuka atakuvaa humo ndani.
Unakojoa nje na ile ukimaliza tu ndukiii kurudi ndani
Walitutisha Sana mbwa hawa
Subiri part 2 inatoka mwezi wa 4 utamuonaUnataka kuniambia alivyoshambuliwa na lile dude hakufa yule jamaa?
OculusHabari zenu wadau wapenda movies hasa zile za kutisha.
Hivi juzi Kati hapa nilicheki movie inayoitwa 'the conjuring', nilicheki sehemu ya Kwanza na ya pili.
Hii ni baada ya kupata habari zake humu JF kwamba inatisha Sana na kilichonivutia zaidi kutaka kuzicheki hizi movies Ni kwasababu they are based on true story!
Hivyo nikawa curious kujua Nini kilijiri coz ninachoamini Ni kwamba wenzetu wa dunia ya Kwanza Mambo ya uchawi na ushirikina hayapo Sana Kama sisi waafrika.
Mazee hizi movie zinatisha aisee hasa ile sehemu ya pili inayohusisha ule mzimu unaoitwa 'valak' (hii sehemu ya pili nilivyomaliza kuangalia nikawa naogopa hata kwenda toilet kukojoa maana ilikuwa saa nane usiku afu Giza kinoma the conjuring sio mchezo mazee)
Nimevutiwa Sana na jinsi directors wanavyopangilia matukio na kufanya usisimke na kuogopa pia, na hata story yake inasisimua Sana kwani mwisho wameweka Picha za wahusika halisi Kama Ed & Lorraine Warren halisi kabisa waliokuwa wanafanya kazi ya kupeleleza matukio yasiyo ya kawaida (paranormal investigators)
Mpaka saivi najiuliza hivi kweli mtu unaweza ukawa na kipawa Kama Cha bi Lorraine Yani 'clairyvoyant'? Lakini kwa mujibu wa story Ni kwamba alikuwa hivyo kweli.
Sio hivyo tu, mwisho wanaonyesha mpaka Picha ya yule mtoto Janet aliyekuwa possessed na ule mzimu akiwa ana elea hewani (levitate) kiukweli ukweli kabisa yaani tukio lenyewe halisi lilivyonaswa kwenye camera achana na ile Picha ya kwenye movie, nilishangaa Sana!
Sasa nilikuwa nauliza wadau wa hizi makitu Kama kuna movie nyingine yoyote inayotisha zaidi ya hizi za the conjuring nipakue fasta nicheki maana siku hizi sijui nimekuwa na akili gani nimejikuta Napenda tu movie za kutisha.
Horror movies ambazo mpaka Sasa nishazicheki Ni hizi hapa chini:
The Conjuring 1&2
The Nun
IT (hii nimecheki chapter 2 tu)
SAW 3D
Final destination 1-3
Wrong turn 1, 2, 4 &5
Ila Kati ya hizo zoote hakuna niliyotokea kuielewa Kama the conjuring.
Sasa wadau Nani anajua movie nyingine yoyote inayotisha zaidi ya the conjuring na yenye story ya kusisimua zaidi?
Afu Kuna kipindi nilionaga mdau humu jf anasema the conjuring sehemu ya tatu IPO njiani vipi ishatoka?
Karibuni wazee
Hata quality hiyo IPO pia fzmovies.net
Sawa mkuu.Kacheki na Evil Dead (2013)
Dah! Mkuu list iko konki!Oculus
The Shining
The Haunting
Thirteen Ghosts
The Haunted Mansion
What Lies Beneath
House on Haunted Hill
Crimson Peak
Ghost Ship
The Others
Poltergeist
Winchester
The Woman in Black
The Exorcist
Hereditary
Pet Sematary
The Ring
Sinister
The Entity
Lake Mungo
The Room
A Nightmare on Elm Street
The Return of Living Dead
The Cabin in the Woods
Asylum
Black Sunday
The Devil's Backbone
A Tale of Two Sisters
Train to Busan
Paranormal Activity
Casper
The Conjuring 1&2
Insidious
The Fog
Mama
The Grudge
The Orphanage
1408
Lingu
Pan's Labyrinth
The Blair Witch Project
Scary Stories to Tell in the Dark
Evil Dead ni ya mwaka 2003Sawa mkuu.
Ila Kuna mwamba hapa anaitwa FRANC THE GREAT kanitajia hii evil dead akaniambia Ni mpya na wewe unaniambia Ni ya 2013 au Ina mwendelezo wake uliotoka hivi karibuni?
Maana nishaiweka kwenye priority list nilivyoambiwa Ni mpya!
Mr yesu kuna time niliona kabisa anatamani atoke kwenye video ili awe mtazamaji. Daah sawa mzee ko mr yesu alikula dozi nzito
Inaniambia " we are not yet available in your country"Kwa wapenzi wa Horror Films utaweza kuangalia kupitia | www.shudder.com ni horror movies tu.
Ah! Sorry, huduma haijafungiliwa kwa baadhi ya mataifa ikiwemo Tanzania.Inaniamvia " we are not yet available in your country"
Sawa mkuu.Ahsante kwa taarifa...