Wakuu,
Nataka kufanya harusi, kinachonisikitisha ni kwamba nikipitisha mchango sitakosa 25M.
Lakini naumia kuteketeza 25M kwa siku moja.
Pia naona kero kuchanga pesa za watu, nafikiria hata nisifunge ndoa.
Naomba ushauri kwa waliofanya harusi za gharama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kufanya harusi, kinachonisikitisha ni kwamba nikipitisha mchango sitakosa 25M.
Lakini naumia kuteketeza 25M kwa siku moja.
Pia naona kero kuchanga pesa za watu, nafikiria hata nisifunge ndoa.
Naomba ushauri kwa waliofanya harusi za gharama.
Sent using Jamii Forums mobile app