Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Waimba mapambio ya kusifu na kuabudu mtangaika sana , tuliwaambia huyu 2025 hafiki na maaircondition kila anapoenda , mkakazania mitano tena , niliwaambia Mia tena .
Kwani wewe 2025 utafika?Waimba mapambio ya kusifu na kuabudu mtangaika sana , tuliwaambia huyu 2025 hafiki na maaircondition kila anapoenda , mkakazania mitano tena , niliwaambia Mia tena .
Jua kuna watu wanatoka hapa dar wanaenda kutibiwa peramiho
Hoja Ni miradi aliyopeleka Magufuli mikoani. Aedrome ya Songea iko toka miaka ya 1960s.Mkuu Ruvuma ipi unayoizungumzia ww??
Kuna mkoa hawalipi kodi ila ni hisani ya Rais?
Arusha haikuwa na Hospitali ya wilaya...leo ipo pale njirojingalao
Arusha kuna mradi gani mkubwa unaoweza kufananishwa na Chato?
Angalizo mradi wa maji na barabara ya Sakini iliasisiwa na Kikwete.
Ama kwa Zahanati kaangalie ule upuuzi uliojengwa Kijenge fananisha na hospital ya Kijiji Cha Chatto
kushiney babujiHili ni swali kwa wawakilishi wa wananchi na wananchi ili tuende sawa.
1. Kuna mkoa haujajengewa hospitali au kituo cha afya?
2. Kuna mkoa hauna mradi wa maji?
3. Kuna mkoa hauna mradi wa barabara?
4. Kuna mkoa hauna mradi wa umeme vijijini?
5. Kuna mkoa haujapata mradi wa ujenzi wa shule?
6. Kuna mkoa una machinga asiyetambuliwa?
7. Kuna mkoa haujengi viwanda?
8. Kuna mkoa haujapata pembejeo za kilimo?
9. Kuna mkoa haujapata fursa ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa?
10. Kuna mkoa hauna huduma bora za fedha?
Hayo ni maswali yangu machache kati ya mengi yenye kuhoji utekelezwaji wa Ilani ya CCM.
Tukumbuke kuwa wakati miradi kadhaa ikitekelezwa basi kuna miradi mikubwa na ya kimkakati inayoshika kasi tena kwa fedha za ndani.
1. Mradi wa SGR
2. Mradi wa kufua umeme
3. Manunuzi ya ndege
4. Mradi wa Maji
5. Ujenzi wa flyovers n.k
Rais Magufuli songa mbele wanafiki wanaombea uumwe!!