Kuna mikoa mingine bado bikra kabisa

Muuza simu used

JF-Expert Member
Aug 23, 2017
4,393
7,039
Watanzania wengi wahaijui hata Tanzania yenyewe!haiwezekani unajua mikoa miwili tu ya Tanzania halafu utatoa hitimisho kwamba Tanzania ipo hv na vile!kuna mikoa ulienda na 2milioni ni Jembe la kufa mtu,fanya utafiti kuwa mtalii wa ndani kabla hutajoa hitimisho
 
Watanzania wengi wahaijui hata Tanzania yenyewe!haiwezekani unajua mikoa miwili tu ya Tanzania halafu utatoa hitimisho kwamba Tanzania ipo hv na vile!kuna mikoa ulienda na 2milioni ni Jembe la kufa mtu,fanya utafiti kuwa mtalii wa ndani kabla hutajoa hitimisho
Ungetoa mifano miwili mitatu ya mikoa na oportunities zilizo kwenye mikoa husika
 
Back
Top Bottom