Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Watanzania wengi wahaijui hata Tanzania yenyewe!haiwezekani unajua mikoa miwili tu ya Tanzania halafu utatoa hitimisho kwamba Tanzania ipo hv na vile!kuna mikoa ulienda na 2milioni ni Jembe la kufa mtu,fanya utafiti kuwa mtalii wa ndani kabla hutajoa hitimisho