Wee kiboko,ebu nifahamishe mbona majengo kama ya ulaya lakini wajenzi ni waafrika siri ni nini hapa?
Dah aiseee kumejengeka sana aiseee
Nilitizama Movie ya Kihindi DOOM 3 Amir Khan kaigizia Movie hiyo huko... Chicago si Mchezo... City la Nguvu
Ukimaliza uje unihadithie naona uvivu kutizama....
Nampenda huyo girl katrina kaif....
Haha me nilishaitizama pale Quality Centre Katrina mtoto mzuri haswa... lakini hajakufikia wewe Farkhina....
Movie imekamilika Comedy Story Action Maandhari mazuri yaliyochezewa Picture... uongo ni kitu cha kawaida kwenye movie za kihindi ambao sometime unajikuta unacheka mwenyewe tu ndani ya theater japo kuna wengine hucheka kwa nguvu....
The Great Indian Circus cha kusikitisha Sterling mapacha wote wanakufa na movie inaisha...
Kaitizame wala hutosikia uvivu am sure utatoka ukitabasamu.... Movie ina subtitle ya english na 1/3 wanaongea English na nyingine ni Hindi...
Kama vipi nistue twende hata sijachoka kuitizama....:wink2: