Ni hatari mno kwa Zanzibar kujitenga sana sana urithi pekee tutakaowaachia wajukuu zetu ni kuhakikisha Zanzibar inakaliwa na watanganyika tu.
Sasa huo Udikteta ulionao ndani ya nafsi yako utakusaidia nini mkuu? Wewe unataka kuwa huru lakini mwenzio umtawale au sivo?