Tareeq
JF-Expert Member
- May 3, 2010
- 828
- 407
Jana sehemu kubwa ya wilaya ya Ikungi haikuwa na huduma za Umeme na athari za hili kila mtu anafahamu ,, haikuishia hapo Usiku pia kuanzia saa 6na kwenda saa 7 umeme ukakatika mpaka sasa.haujarudi ni tukio gani limepelekea kadhia hii ? Ni mgao au ni nini