Kuna mfumo wa+ utawala utakao kuja baada ya demokrasia?

MOKOZ

Member
Dec 9, 2010
11
0
inasemekana kua demokrasia ni mfumo ulio dhaif kuliko zote ktk kutawala.lakin unapendwa sana na wanadam kwakua unahalalisha mambo ya kila aina ilimradi usiharib uhuru wa mwenzako...je tutegemee mfumo mwingine tofaut na huu?au ndo wa mwisho?tuelezane.
 
sijakuelewa hata kwa dawa .... kwani demokrasia ipo tangu enzi hizo kabla hata ya natural law ... sijui unamaanisha nini ...utawala wa demokrasia au kitu gani....au unalinganisha na utawala wa kidikteta

aggrrrrr ..... boresha bandiko lako lieleweke
 
Tuchukulie mfano wa USA naona bado ni mfumo utakaotawala muda mrefu.Tanzania and most African nations are still in a democratisation process hivyo mfumo wa kidemokrasia utaendelea kutumika.
 
inasemekana kua demokrasia ni mfumo ulio dhaif kuliko zote ktk kutawala.lakin unapendwa sana na wanadam kwakua unahalalisha mambo ya kila aina ilimradi usiharib uhuru wa mwenzako...je tutegemee mfumo mwingine tofaut na huu?au ndo wa mwisho?tuelezane.


Yaah utakuja mfumo wa upendo ambao utaamua mambo kwa haki maana upendo hauhukumu, hautakabari mabaya, hauhesabu makosa, haudharau wengine....huvumilia yote, huonya, husamehe, hutoa haki, unafahamu yote, unahekima timilifu, hauna mawaa etc etc
 
sijakuelewa hata kwa dawa .... kwani demokrasia ipo tangu enzi hizo kabla hata ya natural law ... sijui unamaanisha nini ...utawala wa demokrasia au kitu gani....au unalinganisha na utawala wa kidikteta

aggrrrrr ..... boresha bandiko lako lieleweke

mfumo huu wa DEMOKRASIA utaendelea kuelea dunia kama misingi yake ikisimamiwa na dhamira yake kufuatwa pasipo kuingiliwa na mtu yeyote yule.

ila kwasasa mfumo huu umeanza kuyumba kwakuwa waliyomo ndani ya mfumo huwo hatuutendei haki kwa kuanza kuupindisha na kuingiza tamaa zetu, hasara za mfumo huu, unapo kosewa husababisha vita kali sana, ila unapo tendewa haki huunganisha watu na kuwa kitu kimoja hapa nazungumzia uwepo wa amani
 
sijakuelewa hata kwa dawa .... kwani demokrasia ipo tangu enzi hizo kabla hata ya natural law ... sijui unamaanisha nini ...utawala wa demokrasia au kitu gani....au unalinganisha na utawala wa kidikteta

aggrrrrr ..... boresha bandiko lako lieleweke

<body>systm za utawala,communalism,socialsm,imperialism,capitalsm,monocracy,.,democracy ni changa ila ndan yake kumejawa udhalim ,chuki,uovu na kila uchafu si kwa walioko madarakan bali hata wanaotawaliwa.monocracy,utawala kwa mkono wa chuma,wananch wananyooka.</body>
 
Back
Top Bottom