SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 5,121
- 7,886
Based on a true story......
Nilikuwa na beki tatu mmoja nilimtoa kwao huko mkoani. Siku moja wakati bado yuko kwangu nikaingia facebook nikamsechi. Profile yake akawa ameandika anasoma chuo kikuu cha Dar es salaam!
Nikajisemea hivi UDSM imeshuka thamani kiasi hiki hadi mtu anadiriki kudanganya kuwa anasoma pale wakati kutwa kazi yake ni kupiga deki, kufagia, kufua, kupika na kulala?
Hili jambo lilinifikirisha sana.
Nilikuwa na beki tatu mmoja nilimtoa kwao huko mkoani. Siku moja wakati bado yuko kwangu nikaingia facebook nikamsechi. Profile yake akawa ameandika anasoma chuo kikuu cha Dar es salaam!
Nikajisemea hivi UDSM imeshuka thamani kiasi hiki hadi mtu anadiriki kudanganya kuwa anasoma pale wakati kutwa kazi yake ni kupiga deki, kufagia, kufua, kupika na kulala?
Hili jambo lilinifikirisha sana.