solvent
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 644
- 338
Kashfa haimaanishi ni ukweli.Sasa kwanini anakua na kashfa if he is good enough?
Kashfa haimaanishi ni ukweli.Sasa kwanini anakua na kashfa if he is good enough?
Ndio umeongea nini?But ukiambiwa kuna uvamiz clouds unaaman. The problem is yr mindset.
Si kweli kwamba kazima Bunge?Kashfa haimaanishi ni ukweli.
Ha ha ha watanzania wachokoziKipi alituahidi kuingiza meli nyingi Bandarini au Viwanda?
Zile ndio tupo kwenye mchakato wa kuzilipia after all tuna pesa nyingi za kigeni from WB. Hatutajali kuanguka kwa thamani ya pesa yetu, tutalipa dollars in cash!Ha ha haaa.. ni mkopo Mkuu, yeye hua hapokei misaada serikali yake inapesa sana.
Hivi zile ndege zingine mbili kubwa zishalipiwa CASH?
Yote haya ni porojo tuuSi kweli kwamba kazima Bunge?
Si kweli kwamba anambeba Bashite?
So kweli kwamba hakutaka wabunge wakamsabahi Lema?
Si kweli kwamba Nape alikua under gun point?
Si kweli kwamba alitaka kufuta TLS?
Si kweli kwamba Alisema atakua ni Rais wa wanyonge lakini Sasa Amekua ni wa atakaeleta fyokofyoko kukiona cha mtema kuni?
Si kweli kwamba Alisema tuchangie Wanabukoba then akatugeuka?
Si kweli kwamba yapo mengi ila sijaandika?
Hivi kwa nini hawakuwataja walioleta hayo magari wakisingizia ni mitumba ya viatu? Kwani bill of lading ilikuwa inasoma ni Mali za nani?