Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,055
Wanaume wa dar, yaani hata hilo unaomba ushauri jmn
Basi kamsemee kwa mama
Basi kamsemee kwa mama
Naombeni ushauri,
Kuna mdada fulan nafanya naye kazi, akiniona nasimama na mdada mwingine anakasirika badae ananiita ananiuliza kwanini naongea na Yule dada.
Nimemtongoza amekataa ananiambia wanaume sio waaminifu ni walewale, akinipigia simu nisipopokea anakasirika na kunilaumu kwanini sipokei simu yake iwe usiku na iwe mchana
Nilimwambia tufanye mapenzi amekataa anasema hajaona faida yoyote, sasa huyu dada anaendelea kunisumbua ana wivu wa kupitiliza kwangu, anataka anifuatilie popote nilipo nimpe taarifa ajue na ninafanya nini huko
Aasa simuelewi, nimemwambia awe mtu wangu amekataa anasema anataka awe ana nicontrol tu nyendo zangu na hataki anione nina mahusiano na mdada yeyote Yule mwisho kabisa amenambia niwe naenda kwake kila j2 apike chakula tule wote, j2 iliyopita nilienda kwake akanifungashia mchele kilo 8 nipeleke nyumbani ila nilijaribu sana ili nisafishe rungu kanibania kakataa katu na amenambia hatakaa anipe.
Kuna kipindi kama wiki 3 hivi nilikataa kupokea simu zake wala kuonana naye basi ulikuwa ugonvi mkubwa sana.
Naomba ushauri kwa aliyewahi kukutana na msichana kama huyu atusaidie kujua alifanyaje na ashauri nini kifanyike.
IlikuwajeNiulize mimi ambaye nilifikwa na jambo kama hilo.
Hataari....
wameishaje tenaWANAUME KWELI WAMEISHA!!!!
😂Wanaume wa dar, yaani hata hilo unaomba ushauri jmn
Basi kamsemee kwa mama
Binafsi sioni Kama nitatizo demu kukataa kukuvulia chupi,ikiwa yeye anaitaji kuwa kalibu yako ilihali hamna mausiano yoyote wewe mchukulie poa,mpe nafasi inawezekana sikumoja akabadili mawazo yake ukamilikishwa mzigoNaombeni ushauri,
Kuna mdada fulan nafanya naye kazi, akiniona nasimama na mdada mwingine anakasirika badae ananiita ananiuliza kwanini naongea na Yule dada.
Nimemtongoza amekataa ananiambia wanaume sio waaminifu ni walewale, akinipigia simu nisipopokea anakasirika na kunilaumu kwanini sipokei simu yake iwe usiku na iwe mchana
Nilimwambia tufanye mapenzi amekataa anasema hajaona faida yoyote, sasa huyu dada anaendelea kunisumbua ana wivu wa kupitiliza kwangu, anataka anifuatilie popote nilipo nimpe taarifa ajue na ninafanya nini huko
Aasa simuelewi, nimemwambia awe mtu wangu amekataa anasema anataka awe ana nicontrol tu nyendo zangu na hataki anione nina mahusiano na mdada yeyote Yule mwisho kabisa amenambia niwe naenda kwake kila j2 apike chakula tule wote, j2 iliyopita nilienda kwake akanifungashia mchele kilo 8 nipeleke nyumbani ila nilijaribu sana ili nisafishe rungu kanibania kakataa katu na amenambia hatakaa anipe.
Kuna kipindi kama wiki 3 hivi nilikataa kupokea simu zake wala kuonana naye basi ulikuwa ugonvi mkubwa sana.
Naomba ushauri kwa aliyewahi kukutana na msichana kama huyu atusaidie kujua alifanyaje na ashauri nini kifanyike.
mkuu mvumilivu hula mbivu.Naombeni ushauri,
Kuna mdada fulan nafanya naye kazi, akiniona nasimama na mdada mwingine anakasirika badae ananiita ananiuliza kwanini naongea na Yule dada.
Nimemtongoza amekataa ananiambia wanaume sio waaminifu ni walewale, akinipigia simu nisipopokea anakasirika na kunilaumu kwanini sipokei simu yake iwe usiku na iwe mchana
Nilimwambia tufanye mapenzi amekataa anasema hajaona faida yoyote, sasa huyu dada anaendelea kunisumbua ana wivu wa kupitiliza kwangu, anataka anifuatilie popote nilipo nimpe taarifa ajue na ninafanya nini huko
Aasa simuelewi, nimemwambia awe mtu wangu amekataa anasema anataka awe ana nicontrol tu nyendo zangu na hataki anione nina mahusiano na mdada yeyote Yule mwisho kabisa amenambia niwe naenda kwake kila j2 apike chakula tule wote, j2 iliyopita nilienda kwake akanifungashia mchele kilo 8 nipeleke nyumbani ila nilijaribu sana ili nisafishe rungu kanibania kakataa katu na amenambia hatakaa anipe.
Kuna kipindi kama wiki 3 hivi nilikataa kupokea simu zake wala kuonana naye basi ulikuwa ugonvi mkubwa sana.
Naomba ushauri kwa aliyewahi kukutana na msichana kama huyu atusaidie kujua alifanyaje na ashauri nini kifanyike.
ingia Google.Sasa hivi ananiambia niape kiapo cha maji ndio atakubali kunivulia chupi, nimemwambia kiapo cha maji kinakuwaje amekataa kufafanua,
Anataka nini hasa
Nipe namba yake nimkanye kaka.
Agata wangu 😢😢😢tuyazungumze pls🙏🙏 bado nakuhitaji.Nipe namba yake nimkanye kaka.
Tulia weweUna chura?
Umeshindikana weweAgata wangu 😢😢😢tuyazungumze pls🙏🙏 bado nakuhitaji.
Hehheh tatizo jamaa hana demu mwingine kwahiyo minyege ndio inamfanya awe na haraka..kibaharia hapo huyo demu unaenda nae mdogo mdogo huku rungu unasuuza kwingineMabaharia tu ndo tunaelewa izo huyo unatakiwa usimwendee less sana ataliwa bila yeye kujielewa
Wewe ni kiazi mbatata.Kiapo kina nguvu sana siwezi kuapa ukiapa anakuendesha kama gari bovu, unafikiri unatenguaje kiapo