Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,960
Nipo na shemej yenu hapa huwez amin sina hisia nae kabisaaa yaani. Na ni bint mzuri tu mwenye umbo lake ila huwez amini amekuja kwangu toka alhamis..nilivyogusa siku ya kwanza ikawa basii yaani hata kugusana naye kitandan najiskia kero
siku ya 3 hii sijamgusa
Nimeamka asubuhi nmemkuta sebulen kavaa ka night dress ka short hiv anaangalia mapishi. Nimempita hapo hata kumwangalia sjamwangalia
Nimetoka nje kwenda nunua maji yaliisha. Mdada muuzaj amenifanya nimsimamishe jogoo had hiki kipensi nimevaa kimekua kidogo. Na ni ka bint ka kawaida tu hata hakamuingii demu wangu..
Sasa najiuliza ...ndugu zangu waliooa wanaishi ishi vipi..
Nini kinawapa drive
Uzi tayari (Samahanini uwenda ni maombolezo yamechangia maana mim ni magufulian..yaan ni mtu nilieumia sana)
siku ya 3 hii sijamgusa
Nimeamka asubuhi nmemkuta sebulen kavaa ka night dress ka short hiv anaangalia mapishi. Nimempita hapo hata kumwangalia sjamwangalia
Nimetoka nje kwenda nunua maji yaliisha. Mdada muuzaj amenifanya nimsimamishe jogoo had hiki kipensi nimevaa kimekua kidogo. Na ni ka bint ka kawaida tu hata hakamuingii demu wangu..
Sasa najiuliza ...ndugu zangu waliooa wanaishi ishi vipi..
Nini kinawapa drive
Uzi tayari (Samahanini uwenda ni maombolezo yamechangia maana mim ni magufulian..yaan ni mtu nilieumia sana)