Kuna mbinu chafu zinachezwa na vigogo kumsindikiza Jaji Warioba.

abdulahsaf

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
858
130
1.jpg


Kabla hatujafika mbali kukusanya maoni, tunawaomba viongoziwetu wa Smz waleWazalendo wa nchi yao wenyekuipenda nchi yao na kuitetea , watuweke wazi wananchi wa Zanzibar kutokana nautata huu uliojitikeza awamu hii ya pili kuanza ukusanyaji tena maoni.
Wasiwasi wa Wananchiwa Zanzibar nikuwa kuna mchezo mchafu unachezwa na Mh Warioba na inaonekanaanapata sindikizo fulani kutoka kwa vigogo wasio penda mchakato huu kuwa na uwadhi wawananchi kutowa maoni yao katika hatma waitakayo.

Ushahidi upo wa wasiwasi huu kwa Wananchi wa Zanzibar nikuwa tayariwameshagundua kuwa wachangiaji wakujitolea wenyewe niwengi lakini ukiangalia takumu za Fomu(Barua) idadi inaonekana nikubwa . Hii ni ishara moja mbaya iliojitokeza katika awamu hii yapili, kwahio kabla hatujafika mbali nilazima viongozi wetu wa Smz waunde dumeili kuzipitia hizo barua na kuweka utaratibu mzuri wa kuwatowa wananchiwasiwasi kuwa barua ni zakweli na wenye kutuma wapo na sio barua fake za kupangiwana Usalama wa Taifa kimamluki.

Hili linatutia wasiwasi sana wananchi wa Zanzibar kujitokeza katika awamu hii ya pili nakuonekana kuwa kuna mbinu chafu zinataka kutumika ili kulibadilisha muelekeozowezi hili, hivi sasa . Ingawaje tume itatumia kipengele cha kujitetea kuwa kutokuingiliwa na Chama chochote au kundilolote lakini hayo ni maneno tu ya ulahai ,kifupi nikuwa takumuzinaonyesha kuna mchezo mchafu unachezwa, wachangiaji niwengi wenye kujitolea wenyewe kuliko wapelekajibarua lakini tume inatakumu za kuwa wenye kupeleka barua ni wengi.
Hali hii inatutia wasi wasi na kwa vile Viongozi wa Smzwanauwezo katika Baraza letu lawawakilishi kuchaguwa wajumbe nakuzipitia barua hizi kujuwa jee zina wenyewe sio za mamluki usalama wa Taifa.

Wananchi wa Zanzibar wanasema hawako tayari kutokujitokeza na ikiwa swala hili halikutafutiwaufumbuzi na viongozi wetu wa Smz basi tutatia kampeni ya nyumba kwa nyubatuligomee mtu kwa mtu , kulikoni mchezo huu mchafu . Kuendelea na hali hii ndio kujimaliza wenyewewazanzibar kuji (succed) kusudihaitopewa pole nibora kugoma ili kufanywa marekebisho ili kuwa na uwadhi wazowezi hili kuliko kujitokeza kwa wingi Wazanzibar huku tukihashuliwa tu kumbezamiri ni kujiuwa wenyewe kwa kisu chako.

Mungu ibariki Zanzibar na watu wake na uwalani maduwi wazanzibar na mbinu zao chafu.
 
ww ndio una wawakilisha wa znz, au unasema wewe kama wewe? elimu muhimu mdogo wangu!! hata kama chini ya mwembe hujacherewa
 
....... inaonekanaanapata sindikizo fulani.......ukiangalia takumu za.......viongozi wetu wa Smz waunde dume.........ni maneno tu ya ulahai............kujuwa jee....halikutafutiwaufumbuzi........nyumba kwa nyubatuligomee.......wenyewewazanzibar kuji (succed)..........kusudihaitopewa pole............ili kuwa na uwadhi..........huku tukihashuliwa........kumbezamiri........uwalani maduwi wazanzibar

bwahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Mimi sijakuelewa kabisa mkuu, labda wenzangu watanielewesha.
 
Una mwandiko mbaya ndugu yangu! Umesoma kipindi cha mungai nini?

Bora mwenzangu nawe umeliona hilo, mkuu una mawazo mazuri sana na inaonekana kuna kitu unataka kuwapa taarifa watu au watu wachangie mawazo ila uwasilishaji unatufanya baadhi yetu tushindwe kupata mantiki kamili ya mada yako. next time pangilia vizuri kazi yako iwe wengi wetu tuweze kuelewa vizuri na kuchangia.
 
Bora mwenzangu nawe umeliona hilo, mkuu una mawazo mazuri sana na inaonekana kuna kitu unataka kuwapa taarifa watu au watu wachangie mawazo ila uwasilishaji unatufanya baadhi yetu tushindwe kupata mantiki kamili ya mada yako. next time pangilia vizuri kazi yako iwe wengi wetu tuweze kuelewa vizuri na kuchangia.

Nadhani kama nimemuelewa vizuri anachotaka kusema ni kwamba, zoezi la kukusanya maoni ya wananchi juu ya katiba waitakayo ,linahujumiwa na USALAMA WA TAIFA kwa kuandika barua za maoni feki nyingi ili ionekane kuwa hayo ni maoni ya wengi kumbe ni ya watawala!! Do not ignore these accusations because the government in power is capable of these machinations in order to prolong its mandate!!
 
Kama mchezo huu upo, basi haiwezi kuwa Zanzibar peke yake. Kwa tabia za watawala wetu wa sasa ambao ujanjaujanja ni sehemu ya maadili yao, chotechote chawezekana. Nwaaomba Wabunge wetu wote na hasa wa Kambi ya Upinzani walifuatilie hili kwa makini. Yatakuwa makosa makubwa iwapo kama nchi tutatumia gharama kubwa na muda kisha kuishia kuwa muhuri tu wa matakwa ya watawala waliofilisika kimawazo. Ikiwa wako tayari kuua, kisha kutumia fedha zetu kutetea uuaji wao, hawashindwi kufanya hiki anachokieleza ndugu yetu. Mungu Ibariki Tanzania!
 
Kama mchezo huu upo, basi haiwezi kuwa Zanzibar peke yake. Kwa tabia za watawala wetu wa sasa ambao ujanjaujanja ni sehemu ya maadili yao, chochote chawezekana. Nawaaomba Wabunge wetu wote na hasa wa Kambi ya Upinzani walifuatilie hili kwa makini. Yatakuwa makosa makubwa iwapo kama nchi tutatumia gharama kubwa na muda kisha kuishia kuwa muhuri tu wa matakwa ya watawala waliofilisika kimawazo. Ikiwa wako tayari kuua, kisha kutumia fedha zetu kutetea uuaji wao, hawashindwi kufanya hiki anachokieleza ndugu yetu. Mungu Ibariki Tanzania!
 
Back
Top Bottom