Kuna mbegu nimenunua eti inasafisha tumbo na kuondoa sumu, bado sijaitumia nataka ushauri kwanza

Inaondoa sumu, sumu gani au sumu ipi, na hiyo sumu iko wapi kwenye mwili wako? Nikielewa unachomaanisha itakuwa rahisi kujua cha kukushauri?
 
Back
Top Bottom