Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Ukimskiliza Mh Rais Magufuli leo akizungumza kwa uchungu jinsi wawekezaji ambao wanataka kuwekeza kwenye kiwanda cha sukari wanavyokutana na mkwamo .
Baadhi ya Mawaziri,Kituo cha Uwekezaji na baadhi ya watendaji wanadhamira ovu nayo kukwamisha juhudi za Mh Rais katika kuwaletea wananchi maendeleo.
Rai yangu kwa Mh Rais Magufuli usiwe na simile na Waziri au mtendaji yoyote yule ambae ni kikwazo katika kutatua changamoto katika majukumu yake ya kazi
#JPM KIOO TUELEKEACHO
Alex Fredrick
Dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi ya Mawaziri,Kituo cha Uwekezaji na baadhi ya watendaji wanadhamira ovu nayo kukwamisha juhudi za Mh Rais katika kuwaletea wananchi maendeleo.
Rai yangu kwa Mh Rais Magufuli usiwe na simile na Waziri au mtendaji yoyote yule ambae ni kikwazo katika kutatua changamoto katika majukumu yake ya kazi
#JPM KIOO TUELEKEACHO
Alex Fredrick
Dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app