Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
Wadau
Naendelea kushangaa kwa huu uwekezaji wa jengo la PSPF PLAZA hapa Dodoma kwani pamoja na jengo kuonekana la kisasa na kuvutia lakini hakuna umeme wa uhakika
Ni ajabu kwa kweli kwa zama hizi kufanya uwekezaji kama huu halafu suala la standby power likapuuzwa. Sasa hivi karibia wiki nzima hakuna lift inayofanya kazi, tunapanda kwa ngazi...hivyo tunapigana vikumbo na Mawaziri na viongozi wengine kwenye ngazi sasa fikiria Waziri na viongozi wengine anapanda gorofa ya kumi na moja kila siku kwa ngazi...
Hivi ninavyoongea umeme umekatika zaidi ya mara tatu ….Yaani sasa watu walitegemea kwa usasa wa jengo hili umeme utakuwa si tatizo hivyo wengi hawana UPS kumbe ni majanga matupu sasa….
Jamani kama kuna wahusika tunaomba mtuokoe kwenye hili janga ..maana yake kero zimekuwa tooo much!!!
Naendelea kushangaa kwa huu uwekezaji wa jengo la PSPF PLAZA hapa Dodoma kwani pamoja na jengo kuonekana la kisasa na kuvutia lakini hakuna umeme wa uhakika
Ni ajabu kwa kweli kwa zama hizi kufanya uwekezaji kama huu halafu suala la standby power likapuuzwa. Sasa hivi karibia wiki nzima hakuna lift inayofanya kazi, tunapanda kwa ngazi...hivyo tunapigana vikumbo na Mawaziri na viongozi wengine kwenye ngazi sasa fikiria Waziri na viongozi wengine anapanda gorofa ya kumi na moja kila siku kwa ngazi...
Hivi ninavyoongea umeme umekatika zaidi ya mara tatu ….Yaani sasa watu walitegemea kwa usasa wa jengo hili umeme utakuwa si tatizo hivyo wengi hawana UPS kumbe ni majanga matupu sasa….
Jamani kama kuna wahusika tunaomba mtuokoe kwenye hili janga ..maana yake kero zimekuwa tooo much!!!