Kuna maswali yafaa tujiulize kwa bajeti ya serikali ya 2017/18

Aisee, una kichwa kigumu kweli kweli kuelewa mantiki....

Ni kweli mafuta hupanda na kushuka bei kila wakati, kila siku.....

Lakini unasahau kuwa hii 40/= iliyoongezwa kwa kila lita ni fixed....

Mwezi huu kama lita ya petrol ni Tshs. 2200/= maana yake weka na ya Road Licence 40/= na kwa hiyo itakuwa 2240/=.... kwa kila mtu mwenye gari na asiye na gari !!

Mwezi ujao ikiwa 2150/= kwa lita, maana yake ongeza na ya Road Licence 40/= sawa na 2190/= kwa kila mtu mwenye gari na asiye kuwa nalo !!

Usiye na gari utalipaje hii kodi wakati huna gari ?

Ni rahisi tu, utalipia kwenye huduma zitokanazo na kutumia usafiri wa vyombo vya moto kama magari, Pilipili nk.... i. e nauli za usafiri wa abiria na bidhaa kupanda maradufu......

In return, ni kuwa, bei ya bidhaa itapanda am sema mfumko wa bei...!!!
Acha ubabaishaji, hivi unakumbuka enzi zile hakuna VAT na kulikuwa na kodi ya kichwa??Unadhani ni kipindi gani mwananchi analipa kodi zaidi kati ya sasa na enzi za kodi ya kichwa??Nikusaidie jibu kwamba ni sasa (maana utanipotezea muda na lengo)!Huu ni mtindo wa kuwafanya wananchi walipe kodi biila shuruti kwa urafiki kadri ya uwezo wao na uwezo wa matumizi yao. Namna hizi za kodi zinaboresha mapato ya serikali huku zikiwafanya wananchi wasipate maumivu makali (kwa kulipa kiasi kidogokidogo) hivyo kuipa uwezo wa kupanua huduma zake pasipo kuwepo kwa malalamiko ya kundi fulani hasa la watu wanyonge!Nauli za daladala hupanda pia sio kwa sababu ya shs 40 ya mafuta sababu huwa zipo nyingi tu, watu wana - adjust kulingana na gharama mara nyingi! Hata sasa kuna route ikifika saa 12 nauli huwa mara 2 wakati bei ya mfuta ni ileilke, ni hulka tu! Upatikanaji wa kodi za kirafiki namna hii pia unaongeza hamasa kwa wananchi kujituma kufanya kazi ili wapate hela!
Ukiangalia Road licence ilikuwa ni kodi inayobana kundi fulani tu wakati huduma za jamii zinazotolewa kutokana kodi hii zinatolewa kwa jamii yote, huoni mantiki ya watu wote kuchangia huduma??Obviously mwenye misere mingi ya gari atachangia zaidi na maskini atabalnce safari zake!
Nimetumia mifano rahisi ili twende sawa.
Mtendahaki
 
Hii ni bajeti nzuri sana na asilima kubwa ya mapendekezo ya wabunge wa upinzani yamekubaliwa. Kama serikali itatekeleza basi ccm watatembea kifua mbele.
 
3. Kitendo cha serikali kuu kuamua kukusanya ushuru hadi ule ulio kuwa unakusanywa na halimashauri mfano ushuru wa mabango kimenipa shaka mbili, moja, halimashauri wao wataingiza mapato kupitia nini? Au watabaki wanakusanya ushuru wa taka??? Pili, kitendo hichi kina wingu kisiasa.
Kinachofanyika hapa ni Mtu anatake control ............. kuna mtu atakuwa anadirect na remote control. Peleka pesa pale, pale usipeleke. Wape wale kiasi hiki na wale kiasi kile!!
 
JF ina wachumi elekezi wengi sana ambao hawajui lolote kuhusu uchumi wala bajeti
 
Kama zao ni kujua kusoma na kuandika kwanini wasishangilie sana maana wao kila wanachokisikia ni shangwe tu
 
Acha ubabaishaji, hivi unakumbuka enzi zile hakuna VAT na kulikuwa na kodi ya kichwa??Unadhani ni kipindi gani mwananchi analipa kodi zaidi kati ya sasa na enzi za kodi ya kichwa??Nikusaidie jibu kwamba ni sasa (maana utanipotezea muda na lengo)!Huu ni mtindo wa kuwafanya wananchi walipe kodi biila shuruti kwa urafiki kadri ya uwezo wao na uwezo wa matumizi yao. Namna hizi za kodi zinaboresha mapato ya serikali huku zikiwafanya wananchi wasipate maumivu makali (kwa kulipa kiasi kidogokidogo) hivyo kuipa uwezo wa kupanua huduma zake pasipo kuwepo kwa malalamiko ya kundi fulani hasa la watu wanyonge!Nauli za daladala hupanda pia sio kwa sababu ya shs 40 ya mafuta sababu huwa zipo nyingi tu, watu wana - adjust kulingana na gharama mara nyingi! Hata sasa kuna route ikifika saa 12 nauli huwa mara 2 wakati bei ya mfuta ni ileilke, ni hulka tu! Upatikanaji wa kodi za kirafiki namna hii pia unaongeza hamasa kwa wananchi kujituma kufanya kazi ili wapate hela!
Ukiangalia Road licence ilikuwa ni kodi inayobana kundi fulani tu wakati huduma za jamii zinazotolewa kutokana kodi hii zinatolewa kwa jamii yote, huoni mantiki ya watu wote kuchangia huduma??Obviously mwenye misere mingi ya gari atachangia zaidi na maskini atabalnce safari zake!
Nimetumia mifano rahisi ili twende sawa.
Mtendahaki

Nakupotezea muda !!??..... Unakwenda wapi kwani?....

Ungesubiri ufike uendako ndipo uandike ukiwa huru bila kupotezewa muda.....

Sasa wewe unalalamika kupotezewa muda kana kwamba umeshikiwa vidole vyako ili uandike kwa lazima kunijibu ..!!

Anyway, kodi nyingi ili serikali ipate mapato na ili iwape watu wake huduma, Sawa na hakuna anayekataa hilo..... kwa sbb kulipa kodi ni muhimu...

Lakini mbona unatoa mifano ambayo ni irrelevant kabisa ? Hebu linganisha hiki tunachojadili na mfano wako wa nauli kupanda nyakati za jioni wakati bei ya mafuta ni ileile....

Sasa, kwa ufahamu wako hilo jambo ni la kawaida tu kwako siyo? Ni sawasawa tu na kuongeza kodi zaidi na zaidi kwa sbb ni kawaida tu, siyo ?

Kwa maelezo yako haya, ni wazi kuwa hata kodi ya kichwa, kuku, baiskeli, ng'ombe nk ikirudi ni hakuna shida !!

Unazijua principles za ulipaji kodi ?
 
Nakupotezea muda !!??..... Unakwenda wapi kwani?....

Ungesubiri ufike uendako ndipo uandike ukiwa huru bila kupotezewa muda.....

Sasa wewe unalalamika kupotezewa muda kana kwamba umeshikiwa vidole vyako ili uandike kwa lazima kunijibu ..!!

Anyway, kodi nyingi ili serikali ipate mapato na ili iwape watu wake huduma, Sawa na hakuna anayekataa hilo..... kwa sbb kulipa kodi ni muhimu...

Lakini mbona unatoa mifano ambayo ni irrelevant kabisa ? Hebu linganisha hiki tunachojadili na mfano wako wa nauli kupanda nyakati za jioni wakati bei ya mafuta ni ileile....

Sasa, kwa ufahamu wako hilo jambo ni la kawaida tu kwako siyo? Ni sawasawa tu na kuongeza kodi zaidi na zaidi kwa sbb ni kawaida tu, siyo ?

Kwa maelezo yako haya, ni wazi kuwa hata kodi ya kichwa, kuku, baiskeli, ng'ombe nk ikirudi ni hakuna shida !!

Unazijua principles za ulipaji kodi ?
Inaonekana hujanielewa!
Ninachomaanisha ni kuwa kodi inatakiwa iwe rafiki katika ulipaji na hata ukusanywaji wake! Kuipa mtawanyo katika mwaka mzima ni fursa ya kukusanya kidogo kidogo bila kusababisha maumivu kwa raia hata yule maskini kabisa!Ndio maana nimetoa mfano wa kodi ya kichwa iliyokuwa kero kubwa sana miaka ya 90, baade ikafutwa na kuanzishwa VAT ambayo mwananchi analipia kirafiki kabisa kulingana na uwezo wake wa kununua ama kuuza! Hiyo ndio maana niliyokupa!Hata ilipoanzishwa VAT bidhaa zilipanda bei, lakini hili huwa ni mshtuko wa mara moja na baada ya hapo kunakuwa na utulivu wa uhakika!
 
Kujadili bajeti ya tz inabidi using'oe akili kidogo. Ya mwaka unaoisha haijatekelezwa hata nusu unawezaje kujadili mpya bila kuwa na feedback juu ya ile ya awali?.
Hata bila kuwa na elimu kubwa ccm is totally failed to this issue still morning. Kuishangilia bajeti hii ni uwendawazimu.
 
Swali la kujiuliza tu wamefuta load licence na kuipeleka katika mafuta swali Je kuna gari linatumia mafuta ya taa

Khoo khoo khoo khoo maana kodi imeongenzwa mpaka kwenye mafuta ya taa
ni road sio load..
 
Kodi ya mafuta imekuwa ikiongezeka kwa miaka mingi na road licence ikiwepo sasa imeongezeka kwa ongezeko la kawaida la shs 40, makelele ya nini wakati sasa wananchi wana uhuru wa ama kuilipa ama kutoilipa!Haya mafuta hupanda daily na kushuka sioni mantiki ya makelele haya
Kaka, makelele yatakuwepo tu, kwa mfano mtu ana mashine ya kusaga analipia road license wakati mashine yake haitumii barabara, vinginevyo tuambiwe road licence inalipwa kwa ajili ya nini
 
Kaka, makelele yatakuwepo tu, kwa mfano mtu ana mashine ya kusaga analipia road license wakati mashine yake haitumii barabara, vinginevyo tuambiwe road licence inalipwa kwa ajili ya nini
Hiyo ni multiple/multiplier effect na its un avodable worldwide! Kwa mfano mfanyakazi analipa kodi ya kichwa mpk sasa lakini bado analipa VAT kwenye kila bidhaa anayonunua
 
Kodi ya mafuta imekuwa ikiongezeka kwa miaka mingi na road licence ikiwepo sasa imeongezeka kwa ongezeko la kawaida la shs 40, makelele ya nini wakati sasa wananchi wana uhuru wa ama kuilipa ama kutoilipa!Haya mafuta hupanda daily na kushuka sioni mantiki ya makelele haya
Umenena kaka nimekuelewa isipokuwa kuna watu hawana jema mioyoni mwao wengine kiki ndizo zinatafutwa.
Hawa wafanya biashara sio... Wanapandisha bei kwenye vitu baada tu ya bajeti bila kujali hisia za watanzani wakati leo wanajifanya wanawapenda watz.
Lakini kwa hili naipongeza serikali ni neno zito sana kwao au halipo kabisa....
 
Aisee, una kichwa kigumu kweli kweli kuelewa mantiki....

Ni kweli mafuta hupanda na kushuka bei kila wakati, kila siku.....

Lakini unasahau kuwa hii 40/= iliyoongezwa kwa kila lita ni fixed....

Mwezi huu kama lita ya petrol ni Tshs. 2200/= maana yake weka na ya Road Licence 40/= na kwa hiyo itakuwa 2240/=.... kwa kila mtu mwenye gari na asiye na gari !!

Mwezi ujao ikiwa 2150/= kwa lita, maana yake ongeza na ya Road Licence 40/= sawa na 2190/= kwa kila mtu mwenye gari na asiye kuwa nalo !!

Usiye na gari utalipaje hii kodi wakati huna gari ?

Ni rahisi tu, utalipia kwenye huduma zitokanazo na kutumia usafiri wa vyombo vya moto kama magari, Pilipili nk.... i. e nauli za usafiri wa abiria na bidhaa kupanda maradufu......

In return, ni kuwa, bei ya bidhaa itapanda am sema mfumko wa bei...!!!
Wanavichwa vigumu kweli.
Kwenye mafuta kuna ongezeko la pesa ya lea kama sijakosea ni 100. Na eula mbona hamjalalamika na wanalipa hata wasio na umeme majumbani mwao?
Wamekalia ubishi tuuu.
 
Aisee, una kichwa kigumu kweli kweli kuelewa mantiki....

Ni kweli mafuta hupanda na kushuka bei kila wakati, kila siku.....

Lakini unasahau kuwa hii 40/= iliyoongezwa kwa kila lita ni fixed....

Mwezi huu kama lita ya petrol ni Tshs. 2200/= maana yake weka na ya Road Licence 40/= na kwa hiyo itakuwa 2240/=.... kwa kila mtu mwenye gari na asiye na gari !!

Mwezi ujao ikiwa 2150/= kwa lita, maana yake ongeza na ya Road Licence 40/= sawa na 2190/= kwa kila mtu mwenye gari na asiye kuwa nalo !!

Usiye na gari utalipaje hii kodi wakati huna gari ?

Ni rahisi tu, utalipia kwenye huduma zitokanazo na kutumia usafiri wa vyombo vya moto kama magari, Pilipili nk.... i. e nauli za usafiri wa abiria na bidhaa kupanda maradufu......

In return, ni kuwa, bei ya bidhaa itapanda am sema mfumko wa bei...!!!
Brilliant mkùu! Ambaye hataelewa hili atakuwa mtu wa ajabu sana! Simple and clear!
 
Aisee, una kichwa kigumu kweli kweli kuelewa mantiki....

Ni kweli mafuta hupanda na kushuka bei kila wakati, kila siku.....

Lakini unasahau kuwa hii 40/= iliyoongezwa kwa kila lita ni fixed....

Mwezi huu kama lita ya petrol ni Tshs. 2200/= maana yake weka na ya Road Licence 40/= na kwa hiyo itakuwa 2240/=.... kwa kila mtu mwenye gari na asiye na gari !!

Mwezi ujao ikiwa 2150/= kwa lita, maana yake ongeza na ya Road Licence 40/= sawa na 2190/= kwa kila mtu mwenye gari na asiye kuwa nalo !!

Usiye na gari utalipaje hii kodi wakati huna gari ?

Ni rahisi tu, utalipia kwenye huduma zitokanazo na kutumia usafiri wa vyombo vya moto kama magari, Pilipili nk.... i. e nauli za usafiri wa abiria na bidhaa kupanda maradufu......

In return, ni kuwa, bei ya bidhaa itapanda am sema mfumko wa bei...!!!
kwani mwanzo road license ilikua compensated wapi??kama sio hukohuko kwenye manauli???
 
Brilliant mkùu! Ambaye hataelewa hili atakuwa mtu wa ajabu sana! Simple and clear!
jitahidi wewe ndo uelewe....hiyo license mwanzo unahisi ilikua haikuathiri??ilikua inakuathiri the same way itakavyoenda kukuathiri.....
 
kwani mwanzo road license ilikua compensated wapi??kama sio hukohuko kwenye manauli???

No, labda hujaipata point yangu.. na nadhani unavyofikiri wewe ndivyo hasa ninavyoamini mimi.....

Kwamba, hakuna maana yoyote kuambiwa kuwa tumefuta hii kodi ili hali ukweli ni kuwa imehamishwa toka kuitwa "road licence" na kuingizwa kwenye mafuta na kwa maana hiyo maumivu yakiwa palepale....

Kufuta kitu maana yake ni kukitowesha kabisa hicho kitu na kisilete athari yoyote kwa upande wa pili....

Kwa hiyo ni wazi kuwa tupo pamoja, kwamba kodi hii haijafutwa ili imehamishwa na kupata jina jingine tu...!!!
 
Inaonekana hujanielewa!
Ninachomaanisha ni kuwa kodi inatakiwa iwe rafiki katika ulipaji na hata ukusanywaji wake! Kuipa mtawanyo katika mwaka mzima ni fursa ya kukusanya kidogo kidogo bila kusababisha maumivu kwa raia hata yule maskini kabisa!Ndio maana nimetoa mfano wa kodi ya kichwa iliyokuwa kero kubwa sana miaka ya 90, baade ikafutwa na kuanzishwa VAT ambayo mwananchi analipia kirafiki kabisa kulingana na uwezo wake wa kununua ama kuuza! Hiyo ndio maana niliyokupa!Hata ilipoanzishwa VAT bidhaa zilipanda bei, lakini hili huwa ni mshtuko wa mara moja na baada ya hapo kunakuwa na utulivu wa uhakika!

OK....!!
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom