Kuna maslahi gani ukiwa Mwenyekiti wa Kanda ndani ya CHADEMA ?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Wanabodi.

CHADEMA kuna mtifuano mkubwa sana baada tu ya matokeo ya uchaguzi wa viongozi (Mwenyekiti) wa Kanda kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Chadema December 18,2019.

Nimeona akina Msigwa , Matiko , Nyarandu wamepeta...

Kuna minong'ono mingi sana Heche na Sumaye kupigwa chini.

Swali la Msingi:

Kuna maslahi gani ukiwa Mwenyekiti wa Kanda ndani ya CHADEMA ? Hapana naamanisha maslahi kiuchumi na kisiasa.

Wenye uelewa tafadhari.
 
Wanabodi.

CHADEMA kuna mtifuano mkubwa sana baada tu ya matokeo ya uchaguzi wa viongozi (Mwenyekiti) wa Kanda kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Chadema December 18,2019.

Nimeona akina Msigwa , Matiko , Nyarandu wamepeta...

Kuna minong'ono mingi sana Heche na Sumaye kupigwa chini.

Swali la Msingi:

Kuna maslahi gani ukiwa Mwenyekiti wa Kanda ndani ya CHADEMA ? Hapana naamanisha maslahi kiuchumi na kisiasa.

Wenye uelewa tafadhari.
Mkuu, nimekurumia sana halafu nikaishia kucheka tu.
Umeleta uzi kutoka Lumumba, halafu walewale mlojadiliana nao mlete huu uzi huu, ndo wamekuwa watoa majibu wa uzi wenyewe hahahaaaa

Chakufurahisha hata Ufipa wamekaa kimya mtifuane wenyewe teh
 
Ukiangalia mfumo wao. Mwenyekiti wa kanda anapaswa kuwa mtu makini na wakuheshimika na hata ikiwezekana wenyeviti wa taifa watokee huko kutokana na ubora wao wakihudumu kanda zao.
Chadema wanapaswa kuboresha hizo nafasi na kuwapa nguvu hao viongozi.
 
Back
Top Bottom