kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 367
- 679
Habarini wana nzengo.!
Ni hivi , kuna mambo ni muhimu kukubali ukweli tu ili kuepusha magonjwa ya kujitakia .
Swala la mwanaume kuwa pekeake kwa mwanamke haliwezekani , na swala LA mwanamke kuwa peke ake kw mwanaume labda mpk shetani aokoke .!
Kwa sasa nimetulia nikijaribu kuset mind yangu kuwa mim n mchepuko wa kila manzi yangu .! Ili nisijee nikalia na kusaga meno mtoto wa mwenzenu.
NB : mniombee kwa changamoto zozote nitazokutana Nazo.
Ni hivi , kuna mambo ni muhimu kukubali ukweli tu ili kuepusha magonjwa ya kujitakia .
Swala la mwanaume kuwa pekeake kwa mwanamke haliwezekani , na swala LA mwanamke kuwa peke ake kw mwanaume labda mpk shetani aokoke .!
Kwa sasa nimetulia nikijaribu kuset mind yangu kuwa mim n mchepuko wa kila manzi yangu .! Ili nisijee nikalia na kusaga meno mtoto wa mwenzenu.
NB : mniombee kwa changamoto zozote nitazokutana Nazo.