Kuna maji feki ya Afya yapo mtaani hayana viwango

Ova

Member
Feb 18, 2017
46
31
Nadhani wahusika wa TBS wako humu jamvini,Napenda sana maji ya Afya ila leo asubuhi nilinunua maji kampuni ya Afya katika duka moja tandika,nilianza kuyatilia mashaka kabla sijayanywa kutokana na chupa yenyewe haina ubora ni laini mno tofauti na nilivyozoea.Nilifungua chupa na kuyanywa yana harufu kama ya sabuni na ladha yake sio nzuri na baada ya nusu saa kupita nimeanza kujisikia vibaya,macho na kichwa kinauma naomba wahusika mfuatilie wananchi mtatumaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani wahusika wa TBS wako humu jamvini,Napenda sana maji ya Afya ila leo asubuhi nilinunua maji kampuni ya Afya katika duka moja tandika,nilianza kuyatilia mashaka kabla sijayanywa kutokana na chupa yenyewe haina ubora ni laini mno tofauti na nilivyozoea.Nilifungua chupa na kuyanywa yana harufu kama ya sabuni na ladha yake sio nzuri na baada ya nusu saa kupita nimeanza kujisikia vibaya,macho na kichwa kinauma naomba wahusika mfuatilie wananchi mtatumaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tandika,mbagala,manzese na kariakoo kuna vitu fake vingi mno na tena usijaribu kununua maji yanayotembezwa na machinga kwenye vikapu.....
 
Kiwangooooooo kiwangoooooooooo babuuuuu.....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Weka picha basi tuyaone.
Hayo
1548153534160.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom