King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,328
- 67,751
Habari wanasheria,
Kuna jamaa wawili wanangoma nawafahamu ila wanaishi maeneo tofauti,tatizo la hawa jamaa yani wanakula watoto wadogo hovyo hovyo! Kama kuna taasisi yoyote wani PM niwape namba zao wawawekee mtego wa mabinti ili wawatie mikononi kisheria,je kuambukiza wengine makusudi h.I.v sheria zinasemaje?
Kuna jamaa wawili wanangoma nawafahamu ila wanaishi maeneo tofauti,tatizo la hawa jamaa yani wanakula watoto wadogo hovyo hovyo! Kama kuna taasisi yoyote wani PM niwape namba zao wawawekee mtego wa mabinti ili wawatie mikononi kisheria,je kuambukiza wengine makusudi h.I.v sheria zinasemaje?