Kuna maiti 1,500 za Warusi ambazo hazijachukuliwa katika vyumba vya kuhifadhia maiti

Mrengwa wa kulia

JF-Expert Member
Mar 21, 2022
989
3,487
Kuna maiti 1,500 za Warusi ambazo hazijachukuliwa katika vyumba vya kuhifadhia maiti huko Dnipro - naibu meya

Naibu meya wa mji wa Dnipro Mikhail Lysenko, anasema vyumba vya kuhifadhia maiti vya jiji hilo vimejaa miili ya wanajeshi wa Urusi ambayo haijachukuliwa na jamaa zao.

Lysenko amesema jokofu nne zilijazwa zaidi ya maiti mia moja na kumi na tano.

Ameongeza kuwa maafisa wa jiji hilo hawakutaka kuwachoma moto au kuwazika katika makaburi ya halaiki.

Lysenko ametoa wito kwa akina mama wa wanajeshi hao walioko Urusi kuzungumza na makamanda ili ndugu jamaa na marafiki waje kuchukua jamaa zao.

BBC
 
Kuna maiti 1,500 za Warusi ambazo hazijachukuliwa katika vyumba vya kuhifadhia maiti huko Dnipro - naibu meya

Naibu meya wa mji wa Dnipro Mikhail Lysenko, anasema vyumba vya kuhifadhia maiti vya jiji hilo vimejaa miili ya wanajeshi wa Urusi ambayo haijachukuliwa na jamaa zao.

Lysenko amesema jokofu nne zilijazwa zaidi ya maiti mia moja na kumi na tano.

Ameongeza kuwa maafisa wa jiji hilo hawakutaka kuwachoma moto au kuwazika katika makaburi ya halaiki.

Lysenko ametoa wito kwa akina mama wa wanajeshi hao walioko Urusi kuzungumza na makamanda ili ndugu jamaa na marafiki waje kuchukua jamaa zao.

BBC
Mbn chache sana ,tunafahamu BBC ni chombo Cha propaganda hasa kuhusu urusi ,lkn sisi tunaamini kbs nchi yetu ya URUSI infanya oparetion ya kijeshi inaenda VIZURI .....waendeleee na uwongo wao ,wanajitahidi sana kuibua matukio ya uwongo mara kifaru kimeibiwa kwa Trekta ....but Putin anaupiga mwingi kibabe sana na wanaweweseka wataelewa tu mshono
 
Mbn chache sana ,tunafahamu BBC ni chombo Cha propaganda hasa kuhusu urusi ,lkn sisi tunaamini kbs nchi yetu ya URUSI infanya oparetion ya kijeshi inaenda VIZURI .....waendeleee na uwongo wao ,wanajitahidi sana kuibua matukio ya uwongo mara kifaru kimeibiwa kwa Trekta ....but Putin anaupiga mwingi kibabe sana na wanaweweseka wataelewa tu mshono
Mkiambiwa mna shida mnalalamika, BBC haohao unaowakashifu, leo wameandika kuwa askari 1,000 wa Ukraine wamejisalimisha ktk majeshi ya Urusi.
 
Hili ni jambo jema!
Jamaa yangu nakusoma sana kwenye nyuzi za mgogoro wa russia na ukraine. Ukweli ni kwamba, russia hakutegemea upinzani mkali kama aliokutana nao pale pembezoni ya mji wa Kyiev.

Ukraine wamefanikiwa tu kuulinda mji mkuu usiangukie mikononi mwa russia. Lakini miji mingine hakukuwa na upinzani kama wa pale kiev. Jambo lingine russia alilozidiwa ni upande wa propaganda. Hii operation imepiganwa sana pia kwenye media. Western media kwa upande wa media wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa kabisa. Na 60-70% ni habari zao ni uongo.
Kwenye wiki nne za mwanzo za OP western media wakadai eti russia wamepoteza zaidi ya wanajeshi 7000+!!!. Nikajiuliza russia wamepeleka mgambo au wanajeshi?
Mpaka sasa malengo ya OP ya russia hayajafikiwa. Ila Ukraine imevurugwa kwa kiwango kikubwa sana. Wote wamepata hasara ila ukraine ni kupoteza kabisa.
 
Kuna maiti 1,500 za Warusi ambazo hazijachukuliwa katika vyumba vya kuhifadhia maiti huko Dnipro - naibu meya

Naibu meya wa mji wa Dnipro Mikhail Lysenko, anasema vyumba vya kuhifadhia maiti vya jiji hilo vimejaa miili ya wanajeshi wa Urusi ambayo haijachukuliwa na jamaa zao.

Lysenko amesema jokofu nne zilijazwa zaidi ya maiti mia moja na kumi na tano.

Ameongeza kuwa maafisa wa jiji hilo hawakutaka kuwachoma moto au kuwazika katika makaburi ya halaiki.

Lysenko ametoa wito kwa akina mama wa wanajeshi hao walioko Urusi kuzungumza na makamanda ili ndugu jamaa na marafiki waje kuchukua jamaa zao.

BBC
Mtu mwenye akili timamu hawezi kamwe kusikiliza hizo propaganda za vyombo vya habari CNN, ALJAZEERA, FRANCE 24 HRS, BBC, VOA wala DW DOCHVELE, maana wangekuwa wako sahihi wasingefungia vyombo vya habari vya RUSSIA ili kubalansi uhuru, haki na ukweli halisi wa vita inayoendelea baina ya UKRAINE VS RUSSIA.

Kibaya zaidi habari inatolewa upande mmoja tu wa madhara ya RUSSIA ambaye ni Adui wao bila ya kueleza madhara ya UKRAINE, hata mtoto mdogo hawezi kukubali huo upuuzi wa kitoto
 
source ni BBC.
Screenshot_20220326-013126.jpg
 
Mkiambiwa mna shida mnalalamika, BBC haohao unaowakashifu, leo wameandika kuwa askari 1,000 wa Ukraine wamejisalimisha ktk majeshi ya Urusi.
Kwani wasipoandika/wakikanusha ndio inaondoa ukweli Kwamba neo-nazis 1000 wamejisalimisha?
 
Hivi nguvu za Urusi mnazozishadadia kila siku ziko wapi? Yaani unagombana na Comedian siku 60 halafu unajiita una nguvu? Au mna tafsiri tofauti ya maana ya nguvu za Urusi?
You school boy, sikiliza we dogo. Hii siyo vita. Ni operation. Ingekuwa vita ungeona zile MiG 35, Tupolov 29 zikidondosha mabomu kwa 24 hr kila siku. Lakini hii ni op ya kuondoa wale neoNazi. Japo kiukweli op yenyewe haikwenda kama ilivyotarajiwa.
Kwa hiyo bwaMdogo nguvu za jesji la russia zipo. Ila hazitumiki kwenye operation kama hii ya uondoa wanazi mamboleo.
 
Jamaa yangu nakusoma sana kwenye nyuzi za mgogoro wa russia na ukraine. Ukweli ni kwamba, russia hakutegemea upinzani mkali kama aliokutana nao pale pembezoni ya mji wa Kyiev.

Ukraine wamefanikiwa tu kuulinda mji mkuu usiangukie mikononi mwa russia. Lakini miji mingine hakukuwa na upinzani kama wa pale kiev. Jambo lingine russia alilozidiwa ni upande wa propaganda. Hii operation imepiganwa sana pia kwenye media. Western media kwa upande wa media wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa kabisa. Na 60-70% ni habari zao ni uongo.
Kwenye wiki nne za mwanzo za OP western media wakadai eti russia wamepoteza zaidi ya wanajeshi 7000+!!!. Nikajiuliza russia wamepeleka mgambo au wanajeshi?
Mpaka sasa malengo ya OP ya russia hayajafikiwa. Ila Ukraine imevurugwa kwa kiwango kikubwa sana. Wote wamepata hasara ila ukraine ni kupoteza kabisa.
Hili western walishalipanga kuwa lazima Ukraine papasuke, ndo sababu kuu ya kushikilia matrilion ya kirusi yaliyohifadhiwa Ulaya, na wakasema kabisa kuwa vita vikifika tamati, mabilioni haya yatatumika kuijenga upya Ukraine.

Kitu ninachowaza ni kuwa, ambacho pia nakubaliana na wadau wengi humu ndani walichozungumza, vita hii ni kumtia hasara Putin kiuchumi.

Asije akatokea mtu akasema Russia hajatetereka kwa siku zote hizi kukaa Ukraine, kama vifaa, askari na pesa ameshapoteza nyingi mno while Ukraine sehemu kubwa ya vita hii anapiganiwa. Ukitazama mataifa yenye pesa ulimwenguni, mfano UK, German na France, yamemuacha mbali Russia, hapo US muweke pembeni kabisa.

Russia hakutarajia kwenda mwezi mzima ndani ya vita hii, mpaka sasa anazidi kutupa pesa yake Ukraine lakini matarajio ya kuiteka Ukraine yamepungua toka 100% mpaka 50%.
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kamwe kusikiliza hizo propaganda za vyombo vya habari CNN, ALJAZEERA, FRANCE 24 HRS, BBC, VOA wala DW DOCHVELE, maana wangekuwa wako sahihi wasingefungia vyombo vya habari vya RUSSIA ili kubalansi uhuru, haki na ukweli halisi wa vita inayoendelea baina ya UKRAINE VS RUSSIA.

Kibaya zaidi habari inatolewa upande mmoja tu wa madhara ya RUSSIA ambaye ni Adui wao bila ya kueleza madhara ya UKRAINE, hata mtoto mdogo hawezi kukubali huo upuuzi wa kitoto
Jipe moyo lakini haitabadilika mama wa askari hao wajitokeze kuwazika watoto wao., wafanye njia kuwapata ndio busara na ubinadamu
 
You school boy, sikiliza we dogo. Hii siyo vita. Ni operation. Ingekuwa vita ungeona zile MiG 35, Tupolov 29 zikidondosha mabomu kwa 24 hr kila siku. Lakini hii ni op ya kuondoa wale neoNazi. Japo kiukweli op yenyewe haikwenda kama ilivyotarajiwa.
Kwa hiyo bwaMdogo nguvu za jesji la russia zipo. Ila hazitumiki kwenye operation kama hii ya uondoa wanazi mamboleo.
Operation wakati Russia ishapoteza majenerali 9 kwenye hiyo muiitayo operation., basi endeleeni kuita operation na maiti zenu huko Dinipro ndo zishatangazwa 1500 wameuliwa kwenye hiyo operation, wapeni habari jamaa zao wakachukue mait zao
 
Sijasema askari wa russia hawajafa. Wanakufa, ila hiyo idadi sio kweli. Hakuna nchi inayovamia nchi nyingine askari wake wasife. Russia kapata hasara za vifo kule afganistan, Syria na ukraine.

Marekani kapata hasara ya vifo kule Vietnam, Cambodia, na Afganistan.
Lakini vyombo vyao vya habari wanatangaza na kusema idadi ndogo ya vita tofauti na ukweli halisi.
Bado nashikilia msimamo wangu western media ni wazuri kwenye propaganda.
Ulivyofahamishwa na kulipokea neno propaganda ni kwamba kila kinachoongelewa ni uongo., propaganda haina mana hiyo tu, yapo ya kweli ambayo ni mengi na matupu, julize kwanini russia impepoteza majenerali 9? lakini kwanini vita sasa inaingia siku 60? kwanini propaganda za Russia zilisema washaizunguka Kyiv lakini wakaamua kurudisha majeshi??? kwanini warudi Donbas kilichowapata Kyiv hasa ni nini?

Ukiwezatuliza akili hapo utapata picha ya hichi kinachoongelewa kuhusu wanajesh 1500 ambao ni maiti na jamaa zao wanatakiwa kwenda kuchukua miili yao angalau
 
Back
Top Bottom