Uchaguzi 2020 Profesa Kabudi achukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kuwania ubunge Kilosa

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi-CCM kuwania ubunge jimbo la Kilosa.

Pia soma > Uchaguzi 2020 - Wananchi wa Kimamba wamhakikishia Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao. Atangaza nia

Kabudi.jpg
 
Back
Top Bottom