Lusajo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 456
- 30
Mtu ambaye ni rafiki na anashauriwa na G. Bush unategemea nini kutoka kwake? mwenzake kashamalize 8 yake na US ndio hiyoo.Point ya muhimu ambayo tunatakiwa kuangalia ni kuwa ni nini kifanyike.
Possibly now we have the worst president ever,ambaye 2 years ago wengi walijua probably atakuwa the best president ever!
It seems kuwa yeye mwenyewe kama rais hajui kaenda kombo wapi na hata kama akijua sidhani kama kuna lolote ambalo litafanyika,kwa sababu waliomzunguka wanampa habari ambazo yeye anataka kuzisikia.
Tulipokosea mimi naona ni 1995.Ule uchanguzi wa kwanza wa vyama vingi ulitakiwa kuleta mabadiliko makubwa sana na labda kuwafungua macho wananchi ambao walikuwa wanahitaji hivyo.
Hawa wakima Mbowe,Slaa,Zito ndio walitakiwa kuwepo wakati ule with Mrema,Marando,Lamwai na lile kundi lote.Matokeo,wale wotehawapo na sasa kuna wengine,na inaelekea itaendelea hivohivo.Sasa hivi kulitakiwa kuwe na upinzani thabiti,kiasi cha kufanya hata vijana wa sasa iwe ni rahisi kwao kuingia kwenye upinzani sio kwa sababu mtu anaichukia tu CCM au anajua hawezi kuendelea akiingia CCM,bali kujua kuwa anaweza kuleta maendeleo kwa nchi yake kupitia upinzani.
Tutasema hapa kuwa ujamaa was wrong,lakini wengi huko nyuma ukisoma wanasema ujamaa was right,lakini implemetation was wrong.