Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,185
- 10,911
TalantaAmefanyaje tena?.Amepoteza #Atlanta# yake?
TalantaAmefanyaje tena?.Amepoteza #Atlanta# yake?
haaaa haaa ilikuuma sana kukaa sit moja na pisi kali? Go Malisa GoUkiona mtu hajatoa hoja badala yake amekimbilia matusi tilia mashaka elimu yake. May be ni darasa la saba ndio maana akikaa seat moja na piece kali anaona big deal !! Shame
Amefanyaje tena?.Amepoteza #Atlanta# yake?
Hiki ndo alichoakiandika Malisa:-Naam wanajamvi,
Leo katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na post ya huyu maarufu Malisa GJ ameandika mambo machache kuhusu follower wake mmoja kum block kisa ameudhika na ushabiki wake kwa Simba Sports Club. Kwahiyo huyo follower pamoja na kum-block akaongeza kuwa hata changia tena zile challenges zake(?)!
Kimsingi huyu ' follower' amekosea, Lakini Malisa GJ amekosea zaidi. Kwanini? Kuwa mnazi wa timu ya mpira au mwanamzi au bendi fulani ya mziki siyo dhambi hata kidogo. Ila alipo kosea Malisa GJ ni hapa; Kwa sasa Malisa GJ nafasi yake katika jamii ni kubwa mno! Kuna ma milioni ya watanzania wanamuona kama noble person, kifupi ana admirers wengi wadogo kwa Wa kubwa, wenye Imani za dini tofauti na wasio na Imani za dini kabisa,wanasiasa na wasio wanasiasa. Wote ni admirers wake. Kwao wao yeye ni ikon yao.
Malisa GJ ni kama mwana mfalme aliyetakiwa kuwa Mfalme at 12! Ukisha kuwa mfalme katika umri mdogo huu ni lazima uwe mkubwa ghafla. Kuna mambo utatakiwa uyaache upende usipende. Unafikiri una nafasi tena ya kusema nataka nile ujana? Huna nafasi hiyo tena. Sasa Malisa GJ, Mungu amekujalia Atlanta ya pekee katika jamii ya watanzania, wamekuamini kupindukia. Miongoni mwao wapo wanazi wa mpira, wenye akili na wasio na akili , wanaume na wanawake, wote ni followers na ni admirers wako! Ni kundi lako na wewe ndio mfalme wao. Unatakiwa uuelewe ujumbe wa aliye ku-block kuwa ukiwa mfalme hata katika umri mdogo Wa miaka 12 hutakuwa na nafasi ya kula ujana wako.
Ushauri wangu ni kwamba kamwe usipoteze follower wako hata mmoja kwasababu za kushabikia Simba au Yanga. You are now a King at 12, acha mambo mengine yapite hutapungukiwa na kitu.
Unajua baada ya Reginald Mengi kufariki na Lions club kutokuwa active enough , wewe ndio tegemeo la wenye shida mbali mbali kupitia michango ya followers wako? TAFAKARI