Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,267
- 33,871
Kuwaachia wakulima na walanguzi kuuza vyakula kwa bei zinazowapendeza wao, kuna madhara yoyote kiuchumi ama kijamii kwa Taifa letu kiujumla?
Lakini inasemwa kutesa kwa zamu na leo ni zamu ya wakulima kutesa!!Wananchi kula mlo moja kwa siku matokeo yake ni janga la utapia mlo!
Consumer hasa wanapokuwa masikini wana tabia ya kupunguza consmption vyakula vinapozidi bei kwa hiyo atatoka milo 3 mpaka 2 au milo 2 mpaka 1 au mlo 1 mpakanusu mlo kwa siku. Matokeo yake season inayofata wanakuwa wameshajiwekea kuwa hiyo ndiyo routine yao as a result mauzo yanapunguwa. Wakulima mazao yanawaozea.Lakini inasemwa kutesa kwa zamu na leo ni zamu ya wakulima kutesa!!
Kuna soko kubwa sana la Mahindi Rwanda, Burundi na KenyaConsumer hasa wanapokuwa masikini wana tabia ya kupunguza consmption vyakula vinapozidi bei kwa hiyo atatoka milo 3 mpaka 2 au milo 2 mpaka 1 au mlo 1 mpakanusu mlo kwa siku. Matokeo yake season inayofata wanakuwa wameshajiwekea kuwa hiyo ndiyo routine yao as a result mauzo yanapunguwa. Wakulima mazao yanawaozea.
Hakuna mkulima anaenufaika na bei ya sasa kama wapo ni wachache sana hawafiki hata 30% ya wakulima. Wanaonufaika kwa sasa ni wafanyabiashara wanaoweka vyakula mfn mchele, mahindi na maharage katika maghala na kuuza kipindi hiki cha upungufu wa chakula.Lakini inasemwa kutesa kwa zamu na leo ni zamu ya wakulima kutesa!!
Kuwaachia wakulima na walanguzi kuuza vyakula kwa bei zinazowapendeza wao, kuna madhara yoyote kiuchumi ama kijamii kwa Taifa letu kiujumla?
Supply and demand control price.Kuwaachia wakulima na walanguzi kuuza vyakula kwa bei zinazowapendeza wao, kuna madhara yoyote kiuchumi ama kijamii kwa Taifa letu kiujumla?