Kuna madhara yoyote ya kunyoa nywele za kifuani(GARDEN LOVE)?

mambali

Senior Member
Oct 16, 2012
172
64
HABARI WAKUU MBALIMBALI; Kuna mdau kanielezea yeye hapendi nywele za kifuani so toka zimeanza kuota amekuwa na tabia ya kuzinyoa kila ikifikia level flani ni kwa muda sasa amekuwa akifanya hivyoo, anauliza je kuna madhara yoyote yanayoweza kutokea hapo mbeleni???
 
Madhara yake unavyozinyoa ndio zinakuja kwa kasi.. Kwani shem hapendi kuzishikashika mkiwa kitandani?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom